Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Tamaduni za wahindi hawaabudu 'kifo' ndomana hawaziki ni kiberiti na kuni..

Usilazimishe kila mtu akavae jinsi za kuchanika magotini kwenye misiba.
 
Bakhresa ni mpemba wala sio muhindi. Mimi naweza kusema huenda kuna issue zao za biashara, huenda kuna vita vya kiuchumi dhidi ya hao matajiri wakubwa kabisa hapa Tanzania. Kumbuka masoko yao ni hapa Tanzania, Africa mashariki na maziwa makuu. Unakumbuka watu walivyokuwa wanaitana fisadi Papa na fisadi nyangumi? Huenda mpaka mauti inamfika mwenzetu walikuwa hawajamaliza tofauti zao.
Ngoja nitaje list ya Watanzania wachache waliowahi kuwa na bifu na Mengi na hawakwenda msibani :
1.Lawrent Masha
2.Profesa Muhongo
3.Adam Malima
4.Rostam Aziz
5.Yusuf Manji
Na wewe jazia wengine
Ukimaliza hii list kaongeze ile dawa kwenye maji ya kukoga.
 
NI WATU WENYE UBAGUZI WA HALI YA JUU, NA WANATUDHARAU MNO, KUMBUKA WALIKUJA NA NGUO TU NDANI YA BEGI LAKINI KWA KUSHIRIKIANA NA WATU WASIOJIAMINI HASA WAFANYAKAZI WA MABENK WAMEPEWE MITAJI NA WAMEJITAJIRISHA NDANI YA ARDHI YETU NA KUSAFIRISHA MALI YA NCHI KWAO. KWA KWELI NI WASHENZI MNO
 
Watu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!

Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.

Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?

Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.

Funguka tu kwa mawazo yako

FB_IMG_1557479928792.jpeg
 
Hivi ni lazima? Yaani kila msiba watu, sijui kama ni wa Dar (kwenye watu maarufu)tu au ndio Tz nzima sasa ilivyo, lazima ukaoneshe sura. Huo muda mnao!
 
inaweza kuwa hakupata kadi ya mwaliko

hata Bahressa na Diallo hawakupata mwaliko
 
Back
Top Bottom