Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,232
jamani kwa wanamme mlooa
inakuwaje mkeo hadi akuibie pesa? Tena kwa kushirikiana na watoto wake mwenyewe?
Mie nadhani hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya pesa. Hapa baba anaonekana kama 'intruder' nyumbani kwake mwenyewe.
Mke aliyemuoa hana tabia ya wizi wala udokozi leo kageukaje mwizi? Au kweli wababa wanapenda kusaidiwa kutunza mke?
Mme ana pesa kama nini anahonga tu afu mke hata hela ya mafuta ya kujipaka hadi auze ubuyu? Why?
Eti mie ndio naambiwa nisuluhishe, nisuluhisheje jamani hii familia?
Nataka niwaambie wakae wa-review kama wana haja ya kuendelea kuishi pamoja vinginevyo bora kila mtu akamate njia yake.
inakuwaje mkeo hadi akuibie pesa? Tena kwa kushirikiana na watoto wake mwenyewe?
Mie nadhani hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya pesa. Hapa baba anaonekana kama 'intruder' nyumbani kwake mwenyewe.
Mke aliyemuoa hana tabia ya wizi wala udokozi leo kageukaje mwizi? Au kweli wababa wanapenda kusaidiwa kutunza mke?
Mme ana pesa kama nini anahonga tu afu mke hata hela ya mafuta ya kujipaka hadi auze ubuyu? Why?
Eti mie ndio naambiwa nisuluhishe, nisuluhisheje jamani hii familia?
Nataka niwaambie wakae wa-review kama wana haja ya kuendelea kuishi pamoja vinginevyo bora kila mtu akamate njia yake.