Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nimekuwa nafuatilia Matokeo ya Uchaguzi kupitia TV na Radio lakini kinachonishangaza ni Kwamba Katika majimbo ambayo CCM inashinda Matokeo ya Urais Yanawekwa wazi ila Kule ambako Upinzani Unashinda wanatangaza tu Ubunge Lakini Matokeo ya Urais hayatangazwi
Naomba Matokeo ya Urais
Mbeya Mjini
Iringa Mjingi
Moshi Mjini
Mwanza
Musoma Mjini
Kigoma
Mnaweza kuendelea
Huko tumetangaziwa Ubunge tu ila Urais hawajatangaza,
Je ni Strategy ya NEC Kuchakachua
Naomba Matokeo ya Urais
Mbeya Mjini
Iringa Mjingi
Moshi Mjini
Mwanza
Musoma Mjini
Kigoma
Mnaweza kuendelea
Huko tumetangaziwa Ubunge tu ila Urais hawajatangaza,
Je ni Strategy ya NEC Kuchakachua