Kuna mda huwa njiuliza najiona kuwa sisi waafrica ni wajinga na tusiojielewa kabiasa.
Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim.
Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?
Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.
Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu
Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim.
Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?
Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.
Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu