hivi ni kwa nini wanaume ambao wameoa au wanao kuwa na gf wakichoropoka pembeni hawatumii kinga?
naelewa kwa maisha ya sasa ku-cheat ni kawaida sana lakini basi tumia akili na utumie kinga lakini wakuta ahh anajidabulia bila kinga.
na wanawake unajua huyu mme wa mtu kwa niini usimlazimishe atumie kinga?
naelewa kwa maisha ya sasa ku-cheat ni kawaida sana lakini basi tumia akili na utumie kinga lakini wakuta ahh anajidabulia bila kinga.
na wanawake unajua huyu mme wa mtu kwa niini usimlazimishe atumie kinga?