wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
FFU na mabomu ya kutoa machozi....wanawapiga raia wenye shida...kwenye mafuriko.
Hiii ianikumbusha KATRINA wanajeshi walipoa chukua bunduki wakati watu wana zama maji
Kwa nini wasiwekwe mgambo kutuliza hali badala ya hawa FFU?