Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,919
Pamoja na kwamba uuzaji wenyewe wa Nyumba haukuwa na mantiki, lakini ni kwa nini na wanasiasa wa CCM nao waliuziwa nyumba za serikali? Kwani wao ni wafanyakazi wa serikali?
Kama lengo lilikuwa ni kuwasaidia wafanyakazi wa serikali wanapostaafu wawe na makazi ya kudumu, Mbona Askari Polisi, Askari Magereza, Wanajeshi, Waalimu, wao hawakuuziwa nyumba walizokuwa wanaishi wengine walipouziwa nyumba za serikali?
Kama lengo lilikuwa ni kuwasaidia wafanyakazi wa serikali wanapostaafu wawe na makazi ya kudumu, Mbona Askari Polisi, Askari Magereza, Wanajeshi, Waalimu, wao hawakuuziwa nyumba walizokuwa wanaishi wengine walipouziwa nyumba za serikali?