Time Bandit
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 615
- 321
Ujinga ukichanganyika na njaa huzaa umbumbumbu!chadema ni chma cha kigaidi kwa hiyo lazima kihofiwe kwa sababu kinaua watu ambao hawana hatia.
Ujinga ukichanganyika na njaa huzaa umbumbumbu!chadema ni chma cha kigaidi kwa hiyo lazima kihofiwe kwa sababu kinaua watu ambao hawana hatia.
Kama kuna fursa kama udaivyo wewe, CCM na serikali yake imeshindwa nini Kuifanya Dar iwe kama New York au L.A?CCM na serikali yake imeshindwa nini kupunguza vifo vya kinamama na watoto under 5,CCM na serkali yake imeshindwa nini kuwapatia watoto wote madawati na vitabu.Mpaka sasa 85% ya nchi haina umeme?Leo hii kila masika ikianza Dar na miji mingine TZ ni vipindupindu tu-halafu bila aibu unaifananisha Marekani na Tanzania!Fursa zilizopo Marekani hazijaja tu kwa kuota....zimetengenezwa na sera nzuri NA USIMAMIZI MADHUBUTI wa za serikali husika.Ulishasikia Wamarekani wanacheka na wansiasa/viongozi wazembe wasio na maadili na wala rushwa kama wafanyavyo ccm?Unakumbuka Bill Clinton alivyotiwa aibu ktk ishu yake ya umalaya na Monica Lewinski?Hapa bongo ni mara ngapi watu wamewapa wachumba zao ukuu wa wilaya,?Huko BOT ndo usiseme...its like a list of "Who is who" ya bongo politics!Wananchi wakianzisha vimigodi vyao ninyi mnavamia na kuwapa "wawekezaji"..alafu eti unakuja kuongea about fursa....FURSA my foot!
Mkuu ZeMarcopolo Tanzania hakuna kitu chochote
Wafadhili wanakusaidieni kisha munawapa ardhi yenu kuna Madini wanaiba Dhahabu,Almasi, na Madini yote wanakuacheni na njaa yenu
nyie mumelala usingizi amkeni Wa-Tanzania. Viongozi wenu wanaweka mikataba ya miaka 100 kwa wafanya biashara toka nje ya nchi
kwanini iwe miaka mingi mikataba ya kuuza nchi hiyo?Wizi mtupu huo nchi ina mafuta,Gesi, na Madini lakini bado ni Masikini na omba
omba mpaka lini tutategemea misaada toka nje?wakati tuna utajiri tunaukalia wenyewe ? tujiulize kwanini tunakuwa Masikini?
Kwa uzoefu wangu..ukiona mtu anaitetea saaana CCM na serikali yake ujue anatumia tumbo kufikiri....njaa tu ndo zinakusukuma kuandika utumbo humu....na labda ni uzembe wako tu kwamba hujui kuna uhusianao mkubwa tu kati ya personal progress na economic and social stability ya nchi.Tatizo lako unatumia akili za bavicha kufikiri. Hujui maana ya personal progress.
Unajua jinsi kipindupindu kinavyoambukizwa?
Wewe endelea kukaa kijiweni ukingoja chama cha siasa kije kikuletee personal progress.
Upeo wako wa bavicha ndio maana unadhani Marekani kila mtu anaishi vizuri, hujui kuwa personal progress inakuja kutokana na bidii na wala hutambui kuwa kila anayedai huduma bora anawajibika kujielezea amefanya nini katika kuipata hiyo huduma bora. Ila kwa vile wewe ni walewale bavicha type, siwezi kukushangaa...
Kwa uzoefu wangu..ukiona mtu anaitetea saaana CCM na serikali yake ujue anatumia tumbo kufikiri....njaa tu ndo zinakusukuma kuandika utumbo humu....na labda ni uzembe wako tu kwamba hujui kuna uhusianao mkubwa tu kati ya personal progress na economic and social stability ya nchi.
Ushindi kwetu ni dhahiri kunako 2015, na Mh. MziziMkavu jiandae na sheria mpya katika sekta yako ya afya.
Wakati CCM inaruhusu mfumo wa vyama vingi ilijua kuwa kutakuwa na changamoto kwenye kushika dola. CCM ingekuwa inaogopa upinzani isingeruhusu uwepo.
Kuweza kushika dola miaka zaidi ya 20 tangu upinzani uanzishwe ni mafanikio makubwa. CCM imeweka rekodi ya kudumu madarakani zaidi ya robo karne tangu kuanzisha upinzani!
Kwahiyo wapinzani Tanzania kwa robo karne wameshindwa kuwaconvince wananchi waisahau CCM. Hiyo ndio hali halisi iliyopo hivi sasa.
Masuala ya mwaka 2015 tusubiri 2015, mpira dakika 90 ingawa muda wa nyongeza kwenye fainali upo na ikibidi penati...
And still we are poorest as we can beNchi yetu ina fursa nyingi sana. Kila mwenye macho anaziona na kila mwenye akili ananufaika nazo.
Wapo watu wamekaa chini ya kivuli na vibarazani wanagoja siku kije chama fulani kuboresha maisha yao. Watu hao ni kama vile wamejiingiza kwenye puto la disappointment, its just a matter of time kabla puto hilo halijapasuka.
Kwa mtanzania mwenye bidii, for personal progress, Tanzania has more opportunities than any Europen country can offer. Only USA can compete with Tanzania in terms of opportunies of personal progress.
mbona unachekesha sasa nyie na chama chenu cha kihaini mnaanzisha kikundi cha waasi halafu mnasingizia kuwa umeshindwa kulindwa lakini majibu mtayapata tu watoto wa kiume wapo kwa ajiri ya kuwa kabili.
Daaah....unaipenda CCM mpaka nakuonea huruma😛ole sana mkuu lakini ukweli ni kwamba CCM yako imeidumaza hii nchi.Unaongea pumba za fursa hapa laki CCM hiyo hiyo ndo inayozima fursa za watanzania kibao....We kalagha bhao.
Huwezi kuanza kulilia economic stability ya nchi wakati umezungukwa na opportunities kibao za personal progress ambazo umeshindwa kuzitumia! Wewe akili zako ni za bavicha ndio maana hujui kuwa your personal progress is part of national progress. Wewe ndiye mlipa kodi, ukiendelea kuwa mvivu ukingaoja chama kije kukupa ugali basi taifa litaendelea kuwa masikini, lakini ukinyanyua your behind and make use of abundancy of opportunities basi nchi itaendelea.
Anyway, kulala kwako ndio kunafanya wengine watumie vizuri opportunities zilizopo. Endelea kusubiri chama kikukomboe...
Wakati CCM inaruhusu mfumo wa vyama vingi ilijua kuwa kutakuwa na changamoto kwenye kushika dola. CCM ingekuwa inaogopa upinzani isingeruhusu uwepo.
Kuweza kushika dola miaka zaidi ya 20 tangu upinzani uanzishwe ni mafanikio makubwa. CCM imeweka rekodi ya kudumu madarakani zaidi ya robo karne tangu kuanzisha upinzani!
Kwahiyo wapinzani Tanzania kwa robo karne wameshindwa kuwaconvince wananchi waisahau CCM. Hiyo ndio hali halisi iliyopo hivi sasa.
Masuala ya mwaka 2015 tusubiri 2015, mpira dakika 90 ingawa muda wa nyongeza kwenye fainali upo na ikibidi penati...
jibu hoja iliyo wekwa sio kuanzisha hoja mpya kupitia mwenzako- tumia akili usitumie masbulimkuu tukutuku hivi vyama vya kisiasa vya kibongoo vimeamuwa kuanzisha vikundi vya wanamgambo wa vyama kulikoni? Utafikiri tanzania hakuna
jeshi la polisi au jeshi la wananchi? Majangaa hayo majangaaa!!!!!!!!!!!!!!!!! Tanzania kwa miaka inayokuja mbele itakuwa kama lebanon
kutakuwa na vikundi vingi vya wanamgambo, natabiri wakristo nao wataanzisha vikundi vyao vya wanamgambo na wa-islam nao pia
wataanzisha vikundi vyao basi kutakuwa tanzania hakukaliki kila sehemu kuna vikundi vyenye silaha. Hivyo ndivyo alivyo tuachia urithi
wa nchi yetu yenye maziwa makuu baba wa taifa mwalimu nyerere?
Wakati CCM inaruhusu mfumo wa vyama vingi ilijua kuwa kutakuwa na changamoto kwenye kushika dola. CCM ingekuwa inaogopa upinzani isingeruhusu uwepo.
Kuweza kushika dola miaka zaidi ya 20 tangu upinzani uanzishwe ni mafanikio makubwa. CCM imeweka rekodi ya kudumu madarakani zaidi ya robo karne tangu kuanzisha upinzani!
Kwahiyo wapinzani Tanzania kwa robo karne wameshindwa kuwaconvince wananchi waisahau CCM. Hiyo ndio hali halisi iliyopo hivi sasa.
Masuala ya mwaka 2015 tusubiri 2015, mpira dakika 90 ingawa muda wa nyongeza kwenye fainali upo na ikibidi penati...
Mkuu TUKUTUKU Hivi vyama vya kisiasa vya Kibongoo vimeamuwa kuanzisha Vikundi vya wanamgambo wa vyama kulikoni? Utafikiri Tanzania hakuna
jeshi la Polisi au Jeshi la wananchi? Majangaa hayo Majangaaa!!!!!!!!!!!!!!!!! Tanzania kwa miaka inayokuja mbele itakuwa kama Lebanon
kutakuwa na Vikundi vingi vya wanamgambo, Natabiri WaKristo nao Wataanzisha Vikundi vyao vya Wanamgambo na Wa-islam nao pia
Wataanzisha Vikundi vyao basi kutakuwa Tanzania hakukaliki kila sehemu kuna vikundi vyenye silaha. Hivyo ndivyo alivyo tuachia Urithi
wa nchi yetu yenye Maziwa Makuu Baba wa taifa Mwalimu Nyerere?
Vijana wanawapa ugonjwa wa moyo CCM na ndo watakaounda zaidi ya 60% ya wapiga kura wote Tanzania hapo 2015.Ndio mtaji wa CHADEMA huo.
Wakati CCM inaruhusu mfumo wa vyama vingi ilijua kuwa kutakuwa na changamoto kwenye kushika dola. CCM ingekuwa inaogopa upinzani isingeruhusu uwepo.
Kuweza kushika dola miaka zaidi ya 20 tangu upinzani uanzishwe ni mafanikio makubwa. CCM imeweka rekodi ya kudumu madarakani zaidi ya robo karne tangu kuanzisha upinzani!
Kwahiyo wapinzani Tanzania kwa robo karne wameshindwa kuwaconvince wananchi waisahau CCM. Hiyo ndio hali halisi iliyopo hivi sasa.
Masuala ya mwaka 2015 tusubiri 2015, mpira dakika 90 ingawa muda wa nyongeza kwenye fainali upo na ikibidi penati...
kwa miaka yote 20 ingekuwa hamfanyi zengwe kwamba tuaningia katika uchaguzi huru wazi na haki nafikiri ccm ingeshapotea muda mmrefu. ila hila mbaya iliyonayo ccm kuwa mtu akiwa chama cha upinzani husani chenye nguvu basi hapo nongwa za ccm huzuka.
Chama cha mapinduzi hakikuwa na ridha ya kukubali mfumo wa vyama vyingi na kumbuka mwl Nyerere katika kikao cha chama cha mapinduzi aliwauliza viongozi wa chama hichi kwa kuwatega kwamba wao viongozi wa chama cha mapinduzi wako tayari kukubali mfumo wa vyama vingi vya kisiasa nchini?jibu;kutoka kwa viongozi walikuwepo katika kikaa hicho mrehemu Mfaume Kawawa,Anne Abdallah na wengine wengi hapanaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!,mwl, akawaabia mnaona mlivyo waoga hamna uhakika kama tukianzisha mfumo wa vyama vingi vya siasa mtashinda hatuwezi kuongozwa na chama ambacho kigonjwa hakina uhakika kama kitashida kitapoingia katika chaguzi na vyama vingine vya siasa.Uoga huu ndio unakimaliza chama cha mapinduzi.WATANZANIA HATUWEZI KUONGOZWA NA CHA KIGONJWA.