Mtoto wa Baba yule kashabebwa na mbeleko siku nyingi sana na Baba yake.
Yaliyo nyuma ya pazia ni mengi sana maana hata hao wote wenye mamlaka ya kumchunguza wamepigwa ganzi
Ni swala la muda tu, hata huyo baba ipo siku hiyo mbeleko itamshinda kubeba!