Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Miaka ya hivi karibuni tumeona Mamlaka ya Mapato (TRA) kupitia Task Force ikifunga ACC za wateja mbali mbali
Hivi karibuni tulipata habari njema kupitia Mh Rais na Mh Waziri Mkuu kwamba Task Force iache kufunga ACC za wateja bila Sababu za msingi
Naandika waraka huu Kwako MH Rais au MH Waziri Mkuu
Task Force bado zimekuwa mwiba Kwa wafanya biashara na comp mbalimbali
Majuzi mteja wangu mmoja Acc yake imefungwa na Task force wa TRA
Hii comp ina miaka 58 kwenye Shughuli za Ujenzi Nchini na wamekuwa wakilipa Kodi siku zote
Hii comp imeajili maelfu watanzania na kulipa Kodi Kwa Ustawi wa Taifa letu
Hii comp ina Tender migodini ya 1.5 Us dollar kwakuwa Sasa ACC zao zimegfungwa na TRA basi Shughuli mzima za uendeshaji za comp zimesimama
Kama Shughuli zimesimama basi muda wowote Tender zao sitafutwa huko migodini
Kama tender zikiondolewa basi Serikali inakosa mapato lakini na vijana wengi watapoteza ajira
Kama kuna changamoto ndogo ndogo ni vema TRA kukaa mezani na wafanya biashara kumaliza lakini sio kufunga ACC za wateja
Rai yangu kwako MH Rais na Mh Waziri Mkuu,
Niombe Sana kufuatilia swala hili na mengineyo ili TRA waache kufunga ACC za wafanyabiashara kwani sio Afya na kunazorotesha Uchumi wa Taifa hili
TRA inatakiwa kuwa chachu Kwa Private Sector biashara ziende Kwa kasi na Serikali kupata mapato
Kinyume chake tusitafute mchawi
Alex
+255 655 308494.
Email: afredrick59@gmail.com
Hivi karibuni tulipata habari njema kupitia Mh Rais na Mh Waziri Mkuu kwamba Task Force iache kufunga ACC za wateja bila Sababu za msingi
Naandika waraka huu Kwako MH Rais au MH Waziri Mkuu
Task Force bado zimekuwa mwiba Kwa wafanya biashara na comp mbalimbali
Majuzi mteja wangu mmoja Acc yake imefungwa na Task force wa TRA
Hii comp ina miaka 58 kwenye Shughuli za Ujenzi Nchini na wamekuwa wakilipa Kodi siku zote
Hii comp imeajili maelfu watanzania na kulipa Kodi Kwa Ustawi wa Taifa letu
Hii comp ina Tender migodini ya 1.5 Us dollar kwakuwa Sasa ACC zao zimegfungwa na TRA basi Shughuli mzima za uendeshaji za comp zimesimama
Kama Shughuli zimesimama basi muda wowote Tender zao sitafutwa huko migodini
Kama tender zikiondolewa basi Serikali inakosa mapato lakini na vijana wengi watapoteza ajira
Kama kuna changamoto ndogo ndogo ni vema TRA kukaa mezani na wafanya biashara kumaliza lakini sio kufunga ACC za wateja
Rai yangu kwako MH Rais na Mh Waziri Mkuu,
Niombe Sana kufuatilia swala hili na mengineyo ili TRA waache kufunga ACC za wafanyabiashara kwani sio Afya na kunazorotesha Uchumi wa Taifa hili
TRA inatakiwa kuwa chachu Kwa Private Sector biashara ziende Kwa kasi na Serikali kupata mapato
Kinyume chake tusitafute mchawi
Alex
+255 655 308494.
Email: afredrick59@gmail.com