TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Exactly. Mf ni mimi mwenyeweMbona wengine wanakuwa matajiri, baada ya kuoa.
Exactly. Mf ni mimi mwenyeweMbona wengine wanakuwa matajiri, baada ya kuoa.
Teh teh thnxhahhaha basi sawa
Muombe Mungu ndugu yangu swala la ndoa gumu sana.Mfano utakuja mpole, mtii, mwenye heshima, sio mpenda pesa au Mali, huna makuu, unapenda ndugu zangu nk
Kuna siku nitakutibua kimataifa makusudi mbona utalipuka ghafla na kufichua makucha na kichaa chako chote nakujikutaa upo uchi kabsa kilakitu nishakujua ulivyo
Au
Kama nahs umenipendea Mali kuna siku nitakuigizia movie ya kihindi
Kwamba hizo Mali kutoweka ghafla mbona jasho litakutoka na kuonyesha tu wewe ni mpigaji!
Hapo upo Miss chagga????
Ni kweli kumuomba mungu mhimu!Muombe Mungu ndugu yangu swala la ndoa gumu sana.
Sawa mkuuNi kweli kumuomba mungu mhimu!
Ila kabla ya maombi wanaume nao wasijilegeze na kusinzia, ukipofu unawamaliza, maana nowadays ni kaz kutofautisha kahaba na wife material!!
Kwan hata kahaba tu anajifanya wife material!