Chinga One JF-Expert Member Joined May 7, 2013 Posts 11,493 Reaction score 12,453 Jul 9, 2013 #1 nimekua nikijiuliza kwa nin askari karibia wote hawaruhusiwi kufuga ndevu,na hata stail ya unyoaji wao kichwani ni ya kipekee!!
nimekua nikijiuliza kwa nin askari karibia wote hawaruhusiwi kufuga ndevu,na hata stail ya unyoaji wao kichwani ni ya kipekee!!
I IPECACUANHA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 3,230 Reaction score 1,925 Jul 14, 2013 #2 Trimming hair and shaving beard is part of the army smart code.
124 Ali JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 7,813 Reaction score 5,522 Jul 14, 2013 #3 Enzi ya vita ya zamani ukiwa na midevu mirefu ni sawa na sasa kuvaa tai halafu kuutifua ugomvi! utakabwaje?
Enzi ya vita ya zamani ukiwa na midevu mirefu ni sawa na sasa kuvaa tai halafu kuutifua ugomvi! utakabwaje?
morphine JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 3,505 Reaction score 1,102 Jul 15, 2013 #5 Adui anaweza kutumia kama silaha ya kukuumiza kwa kuzivuta...mtazamo tu..
Infantry Soldier JF-Expert Member Joined Feb 18, 2012 Posts 17,306 Reaction score 19,822 Jul 15, 2013 #6 mbona usalama wanazo? kwani wao sio askari?
M Mlacha73 Member Joined Jul 11, 2013 Posts 23 Reaction score 1 Jul 15, 2013 #7 Askari wa bongo si ruhusa, itakuwa sbbu ya kuomba ruksa kwenda kunyoa