Kwa ninavyomfahamu Maalim Seif, Hamad kaa chonjo!

Maalim kashika wadhifa wa katibu mkuu muda mrefu sana kwanini hataki mwingine aonyeshe kipaji chake ???????.

Na hilo ndio tatizo la vyama vyetu hivi vya upinzani,wakubwa huwa hawataki mabadiliko,haiingii akilini kwamba eti cuf haina watu wengine wanaoweza kushika nafasi za uenyekiti na ukatibu mkuu zaidi ya Lipumba na Maalim,hii sio kweli,wamekaa kwenye vyeo hivyo kwa muda mrefu kiasi hicho kwa hila,huo ni ubakaji wa demokrasia,Hamad Rashid yuko right katika hili namuunga mkono kwa kuanzisha vuguvugu la mabadiliko ameonyesha ujasiri wa hali ya juu kumkabili swahiba wake maalim seif,kina Juma Duni wanamuogopa seif japo kimoyo moyo najua hawakubaliani nae,ndevu watu wengi wanamuogopa pale cuf lakini Hamad Rashid atamtingisha kwa anamjua vizuri wametoka mbali na pia ni mpemba mwenzake sio muunguja,hivyo ni wazi pia nae atakuwa na base yake pemba,naamini hajakurupuka anajua anafanya nini.
 
Huna tofauti na CHANGUDOA,leo kwa mwanaume huyu kesho kwa yule.Shame on you!

Hapana na wewe unakosea,hawa wenyeviti wa vyama msiwatukuze kupita kiasi,matokeo yake ndio wanaanza kung'ang'ania madaraka,mboe pia inatosha,huwezi kuserve zaidi ya miaka kumi,hiyo sio kampuni ambayo mwenyekiti wa kampuni mfano ya IPP toka tuko shule ni Reginald Mengi tu,hicho ni chama cha siasa tena cha kidemokrasia,mi sikubali kwamvba chadema eti haina watu wazuri wa kuiongoza zaidi ya mbowe,sio kweli,hawa jamaa tuwabane wakubali mabadiliko ili kuleta mawazo mapya,msiwe kama cuf na nccr wenyeviti na makatibu ni walewale miaka nenda rudi,msimuharibu mboe nae akawa kama hao.
 
seif hawezi kuondoka na kumwita HR sasa zamu yako njoo uchukue, hata kama seif anashikilia nafasi ile kwa mda wote si amechaguliwa katika chaguzi za ndani na hakuna mtu aliejitokeza ku challenge nae ktk chaguzi za ndani. kama anahisi muda umefika alikua afate taratibu zinazohusika. kwa hivi anavyofanya lazima analengo jengine, na watu wa aina hii wamejaa ktk vyama vyetu vya upinzani. juzi TLP jana NCCR leo CUF kesho mwengine. kiongozi mzuri akiona chama chake hakina mwelelekeo wa demokrasia au kinavunja sheria zake wenyewe walizokubaliana basi hujiuzulu tu kuliko kuforce na mimi lazima nipate nafasi ya fulani

Unadhani kujiuzulu ndio kungeisaidia cuf kuwa ngangari kama zamani?
 
Acha wagombane ili tufaidi. Hamad alipokosa kuongoza upinzani bungeni akaanza kuchachafya cdm-anatamaa sana.
Seif huyo ni kibaraka wa ccm hana maana kuendelea kuongoza chama. Cuf itakufa kama seif ataendelea kuwa katibu mkuu. Hayo makubaliano ya seif na karume ni yapi? Mbona siri? Ccm ianuwa cuf taratibu. Cuf wakumbuke kuwa mseto umetokana na wao kushinda vita vingi wakivikosa 2015 kwaheri. Mbona kutoa vitambulisho vya mzanzibari mkazi wwanapewa wa ccm na kuwabagua wa cuf. Tafakari! Mseto gani huo wa ubaguzi? Mbona seif amepoa kwa hilo?
 
na hapo ndipo sasa utaona watu wanachukulia sisa ni kula!!rashid is perfect!!!!maalim aondoke kama baadhi ya wanachadema tunasema mbowe aondoke!!!
acha uchochezi wewe, cdm tunajua tunachotaka ni nini na 4ur information tunapewa na wala usitusemehe wewe wakala wa magamba
 
Huyu Hamad anauroho wa madaraka pia amezeeka sana uwezo wake wakufikiri nakubuni vitu vipya unatia shaka cuf inawahitaji watu kama kina Jussa kuleta changamoto mpya na sio hawa wazee wawili waliochoka.
 
Na hilo ndio tatizo la vyama vyetu hivi vya upinzani,wakubwa huwa hawataki mabadiliko,haiingii akilini kwamba eti cuf haina watu wengine wanaoweza kushika nafasi za uenyekiti na ukatibu mkuu zaidi ya Lipumba na Maalim,hii sio kweli,wamekaa kwenye vyeo hivyo kwa muda mrefu kiasi hicho kwa hila,huo ni ubakaji wa demokrasia,Hamad Rashid yuko right katika hili namuunga mkono kwa kuanzisha vuguvugu la mabadiliko ameonyesha ujasiri wa hali ya juu kumkabili swahiba wake maalim seif,kina Juma Duni wanamuogopa seif japo kimoyo moyo najua hawakubaliani nae,ndevu watu wengi wanamuogopa pale cuf lakini Hamad Rashid atamtingisha kwa anamjua vizuri wametoka mbali na pia ni mpemba mwenzake sio muunguja,hivyo ni wazi pia nae atakuwa na base yake pemba,naamini hajakurupuka anajua anafanya nini.
Mabadiliko yanatakiwa lakini sikuna taratibu??kwanini waendeshe harakati za kihuni??katiba ipo vikao vinafanyika piga kura mmtoe siyo kuendesha siasa za kihuni!!

Hapana na wewe unakosea,hawa wenyeviti wa vyama msiwatukuze kupita kiasi,matokeo yake ndio wanaanza kung'ang'ania madaraka,mboe pia inatosha,huwezi kuserve zaidi ya miaka kumi,hiyo sio kampuni ambayo mwenyekiti wa kampuni mfano ya IPP toka tuko shule ni Reginald Mengi tu,hicho ni chama cha siasa tena cha kidemokrasia,mi sikubali kwamvba chadema eti haina watu wazuri wa kuiongoza zaidi ya mbowe,sio kweli,hawa jamaa tuwabane wakubali mabadiliko ili kuleta mawazo mapya,msiwe kama cuf na nccr wenyeviti na makatibu ni walewale miaka nenda rudi,msimuharibu mboe nae akawa kama hao.
Wapo kwa mjibu hakuna anayewatukuza nakwa sasa mfahamu Maalim seif ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa serikali ya mapinduzi Zanzibar!!!Weka akilini!

Acha wagombane ili tufaidi. Hamad alipokosa kuongoza upinzani bungeni akaanza kuchachafya cdm-anatamaa sana.
Seif huyo ni kibaraka wa ccm hana maana kuendelea kuongoza chama. Cuf itakufa kama seif ataendelea kuwa katibu mkuu. Hayo makubaliano ya seif na karume ni yapi? Mbona siri? Ccm ianuwa cuf taratibu. Cuf wakumbuke kuwa mseto umetokana na wao kushinda vita vingi wakivikosa 2015 kwaheri. Mbona kutoa vitambulisho vya mzanzibari mkazi wwanapewa wa ccm na kuwabagua wa cuf. Tafakari! Mseto gani huo wa ubaguzi? Mbona seif amepoa kwa hilo?
Hamad inaelekea ndiyo tabia yake maana nakumbuka kwenye kambi ya upinzani alivyo waandama Chadema akitak na wao wawemo kwa lazima wakati kanuni zipo wazi na mwisho Spika akawaeleza waliokuwa wakimuunga mkono kwamba Chadema ndiyo chama kikuu cha upinzani hivyo kinaweza kuamua kipange safu yake yaupinzani bungeni bila kuwashilikisha wapinzani wengine hivyo haitakiwi kuwalazimisha kamwe!!

Huyu Hamad anauroho wa madaraka pia amezeeka sana uwezo wake wakufikiri nakubuni vitu vipya unatia shaka cuf inawahitaji watu kama kina Jussa kuleta changamoto mpya na sio hawa wazee wawili waliochoka.
Hapa kwa ninachokiona Hamad Kaisha chuja kisiasa hapa anatafuta platform hakuna kingine kwakuwa na chama chenyewe kimetekwa na CCM hakiwezi kuvuma!!

Ila nadhan Rashid hatafua Dafu,maana mbinu zake c nzuri!
Ndokawaida ya watu wanaoporomoka kisiasa lazima watafute tundu lakutokea!!
 
ccm wanajua cuf ikifa tanganyika ni hatari kwa kulinda ulaji wao 2015,wanamsaidia na kumtumia hamad rashid aweze kuiimarisha cuf tanganyika ili kura za wapinzani zigawanywe au cuf atleast wapunguze kidogo kura za chadema,wakiiacha cuf ife,come 2015 utakuwa uchaguzi wa vyama viwili;ccm na chadema,na ccm won't stand a chance hata kwa kuchakachua maana watapigwa gap kubwa la kura.mtazamo wangu.
 
Cafu zingatieni ka msemo haka; MAUMIVU YA KICHWA HUANZA POOLEPOLE, BAADAYE UNAYASIKIA MAKALI KUPITA KIASI
 
Mantiki ya mabadiliko ipo. Taratibu tu zifuatwe. Huyo katibu mkuu tayari anayo madaraka mengine makubwa ya umakamu. Labda watuambie kuwa kazi anazofanya ni part time.
 
Tatizo la cuf ni muafaka japo hilo watu hawajalijua but ugomvi huo ni moja ya side effects za muafaka. Kwanza nafasi ya katibu mkuu ni nyeti na atakaye ikwa ana nafasi kubwa ya kusimmama kama mgombea wa Zanzibar 2015.Maana yake ataukwaa umakamu. So Hamad anajua asipo ukwaa ukatibu mkuu ndo basi. Nyie angalieni hata hoja zake za kuharalisha mapinduzi , eti katibu mkuu amekaa sana. Swali, amelijua leo hili? Mbona na Lipumba amekaa sana lakini hamshambulii? MJINI HAPA.
 
Back
Top Bottom