Uchaguzi 2020 Kwa namna Arusha ilivyotaabika, kwa sasa tunahitaji Monoban awe mbunge wa Arusha

Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Arusha anakuja Dogo janja kupitia CCM, huyo kuleni tu hela yake
 
Ningekushauri huu muda unaotumia kunijibu,ungetumia kujifunza kuandika na kupanga hoja vizuri.
Ila kwasababu,akili yako na ya Lema zinafikiri at the same line sina haja ya kubishana sana na mtu kama wewe.
Pamoja na kauli hizo kutoka kwa viongozi mbalimbali kuhusu kutokupeleka miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya upinzani.

Lema ameplay role gani...yakuonyesha anamawazo chanja aliyoyatoa bungeni kwa maslahi ya mkoa wa Arusha...angekuwa anafanyahayo maandamano kutetea hoja zake anazozitoa bungeni zenye maslahi na mkoa huu at least...ni mradi gani aliomba bungeni kwa maslahi ya Arusha ikakataliwa na bunge au na serikali.

Kusema imesemekata majimbo ya upizani wasahau miradi ya maendeleo na kuishia hapo haitosha..sema ni mradi gani ulipendekeza bungeni kwa ajili ya jimbo lako,ikakataliwa.
Wewe mlevi wa chang'aa hebu jisome Aya ya pili na ya mwisho kabla ya kunisakama.mawazo chanja ni kitu gani? Imesemekata ni kitu gani? Endelea kutumika kwani ndilo unalolimudu! Mjinga na nusu!
 
Wabunge maslahi tunao sisi mkoa wa Ruvuma huyo mbona mchapakazi tungempata uku kwetu tungejivuna, sema uccm ni tatizo Kona wanafanya vizuri kumbe washangiliaji wa upumbavu bungeni
 
Lema ana vurugu au au anavurugwa na yule mwenye (sura, lugha & roho mbaya) mpenda inda na chuki za kisiasa?
Arusha ipo kisongo airport unataka yaaina gani ?
Ni kweli sasa mbunge anapelekeshwa kama katoto kadogo laiti mngemuona hadi aibu jamani .
Anafungwa ,anateswa kama nini ila bora mtu uwe ccm mie ni ccm tokea miaka na miaka sitaki presha .
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Siasa sio ujinga. Kinachofanywa na chama tawala ni ujinga. Ujinga katika suasa ni pale siasa inapowabagua wananchi kwa msingi wa siasa kama chama tawala na wajinga wanavyofanya kwa maneno na matendo yao. Wananchi wajinga wapo lakini ni wachache. Ngoja tuone uonevu, ujinga na bao la mkono litakapo kutana na ukweli wa wananchi.
 
Wewe mlevi wa chang'aa hebu jisome Aya ya pili na ya mwisho kabla ya kunisakama.mawazo chanja ni kitu gani? Imesemekata ni kitu gani? Endelea kutumika kwani ndilo unalolimudu! Mjinga na nusu!

Chang'aa ni kitu gani,mimi siijui hiyo kitu,nina imani mpaka unakitaja kitu maana yake unakijiua na inaoneka wewe ni mtumiaji mzuri kwasababu mtu mwenye akili hujibu hoja kwa hoja na sio kuanza kuleta story za changa'aa ni ishara ya udhahifu mkubwa wa akili ulionaya,hata the way unavyotoa hoja imekaa kichanga'aa kama unavyojinasibu..pili haya maswali unayoniulize nikupe majibu nadhani hukumaliza hata shule ya msingi wewe,na ndio maana unaleta akili za kichang'aa humu ndani..uneducated idiot.
 
Chang'aa ni kitu gani,mimi siijui hiyo kitu,nina imani mpaka unakitaja kitu maana yake unakijiua na inaoneka wewe ni mtumiaji mzuri kwasababu mtu mwenye akili hujibu hoja kwa hoja na sio kuanza kuleta story za changa'aa ni ishara ya udhahifu mkubwa wa akili ulionaya,hata the way unavyotoa hoja imekaa kichanga'aa kama unavyojinasibu..pili haya maswali unayoniulize nikupe majibu nadhani hukumaliza hata shule ya msingi wewe,na ndio maana unaleta akili za kichang'aa humu ndani..uneducated idiot.
Haya Dada mpendwa, hongera kwa kumalizia shule pasi na kuelimika! Laiti ungeelimika usingekuwa unawapigia wengine chapuo la kuchafuliwa Bali ungejinadi mwenyewe! Tukianza kupimana habari za shule mbona tutakimbiana humu!
Hiyo shule yako mpuuzi wewe no ya kiwango gani zaidi ya zile za kata za kwenda na jembe, fagio na kudumu Cha maji? Kalambe miguu ya wanaume ili Ile vinginevyo utakufa njaa! Mataga mengine hayana tofauti na takataka!
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito

Kwani ni nani anayefanya vurugu kama si hao CCM?
Soma hii kauli aliyoitoa Ghambo "kama kuna mwanaCCM anaweza kufanya vurugu hapa mjini, CCM ikaonekana, muacheni afanye vurugu. mbunge sio wetu, tunaanza kuremba-remba na kutumia ustaarabu ili iweje? Tunataka kuona wanachama wa CCM wanafanya vurugu kila tawi, kila kata" — Mrisho Gambo, akiwa RC-Arusha, June 2018
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Wee ni zaidi ya pimbi
 
Mleta mada Ni poyoyo wa siasa,kwa taarifa Kama ulikuwa hujui,Ni kipindi Cha Lema ndo..
Barabara za lami zimeongezeka kwa Kasi ya ajabu Arusha.

Tatizo la maji kuwa historia Arusha.

Elimu ya uraia na kujitambua imewafkia watu wengi Arusha.

Mapato au makusanyo kuongezeka zaidi ya Mara 3 kulinganisha pindi CCM ikiwa imeshika halimashauri me hapa Ni wazi CCM ilikuwa inafisadi halimashauri.

Kama unakumbuka kabla ya jiwe kunyang'anya makusanyo Lema na halimashauri yake ya Arusha ilianza kujenga shule kwa kiwango Cha orofa mfano Sombetini,baada ya jiwe Kuona mipango mizuri ya Lema na halimashauri yao akawanyang'anya makusanyo,na huu ulikuwa ni uhuni ili wasifanye maendeleo kwenye majimbo yao.
CCM hamna kitu kazi kuiba tu
 
Back
Top Bottom