Kwa Mzee wa Upako ni magari tu?

Kwa Mzee wa Upako ni magari tu?

Mimi kesho naenda huko kupata upako Amini katika bwana atakupa utakacho.
 
Naumia sana kuona watanzania wenzangu wakidanganyika kwa mbinu za kikanjanja kanjanja. Nimeumia zaidi baada ya kuona mtu ninayemfahamu ametumika kudanganya umma.

Katika segment moja ambayo huwa inaonyesha shuhuda mbalimbali kutoka kwa waumini wake. Hivi karibuni kupitia channel ten walionyesha shuhuda za magari kupitia Mungu wa Mzee wa Upako.

Kuna dada mmoja(yeye anajijua), huyu dada ni mtoto wa mzee Nakomolwa, kwao kabisa ni Mbeya eneo moja linaitwa Nzovwe na kwa hapa Dar anaishi Ubungo Riverside.

Dada huyu alinunuliwa gari na mume wake mwaka 2010 na hana gari jingine (ninamfahamu vizuri huyu dada).

Nimeshtuka sana kuona hivi majuzi kwenye Channel Ten akitoa shuhuda kwa kumshukuru Mzee wa Upako kumuwezesha kununua gari, anasema toka ameanza kusali kanisani kwa mzee wa upako mwaka jana ndio amenunua gari wakati anayo gari toka mwaka 2009.

Wewe ni kama dada yangu na nina kuheshimu sana, kwanini unamkosea heshima mumeo aliyekununulia gari? Kwanini unakosa hofu ya Mungu, umepewa shilingi ngapi kushiriki katika huo mpango wa kumtangazia biashara Mzee wa Upako?

Yaani mumeo ahangaike kukusanya hela akununulie gari wewe unasema ni mzee wa upako?

Huyo ni mmoja tu ambaye mimi nimemtambua, je ni wangapi ambao wametumika katika mbinu hiyo?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: yok
Kuandika uandike mwenyewe, story ulete mwenyewe alafu huelew ulichoandika

Umesema, Gari ALINUNULIWA NA MUMEWE mwaka.....

Ushuhuda alioutoa kasema AMENUNUA MWENYEWE

Nadhan nimeeleweka

nenda kwake, ana magari mawili
 
Duh! Kama ni kweli inazidi kunishangaza. Huwa nashangaa sana,
hivi kwenye mambo ya Mungu unadanganya ili iweje?...
 
Kuandika uandike mwenyewe, story ulete mwenyewe alafu huelew ulichoandika

Umesema, Gari ALINUNULIWA NA MUMEWE mwaka.....

Ushuhuda alioutoa kasema AMENUNUA MWENYEWE

Nadhan nimeeleweka

nenda kwake, ana magari mawili

Usipende ku act lyk GT while you aint... soma tena kisha urudi... b.wege wewe
 
Hakuna jambo jema kama kutoa ushuhuda na ni moja kati ya ibada kwa MUNGU,, ila ni jambo ambalo linaweza kukusababishia laana kubwa kama utalifanyia mzaha kama wanavyofanya wengi....

Mfano:
>> Kuamka mzima wa afya kila siku ni shuhuda tayari.. ila watu hawelisemi hili wanakimbilia kwenye magari, yaani mchungaji anakunyima kutoa ushuhuda kwenye madhabahu kwa kuwa group watu wenye magari ndo wanatakiwa kutoa ushuhuda!! ni kosa kubwa kwa waumini na hata MUNGU mwenyewe..

Nadhani imefika wakati tupime je kweli hawa viongozi wa roho wametumwa kweli kuja kutuhudumia kiroho au??

Na uhakika muumini yeyote wa mzee wa upako ukimuuliza huyo mchungaji wake (mzee wa upako) amemjengaje kirohoo kupitia huduma yake hatakuwa na jibu na najua wapo humu kama wanabisha wajibu hilo swali!!
 
Nikiangaliaaga kile kipindi,huwa nawasikitikia sana wale waumini. Wale wote wamepangwa!
 
Wanatumiwa na hao watumishi mpaka akili zinawavuka. Aibu yao.
 
Nikiangaliaaga kile kipindi,huwa nawasikitikia sana wale waumini. Wale wote wamepangwa!

asilimia 80 ya waumini pale ni WACHAGA...
BIASHARA ZA MIZIMU,MAZINDIKO,
 
Naumia sana kuona watanzania wenzangu wakidanganyika kwa mbinu za kikanjanja kanjanja. Nimeumia zaidi baada ya kuona mtu ninayemfahamu ametumika kudanganya umma.

Katika segment moja ambayo huwa inaonyesha shuhuda mbalimbali kutoka kwa waumini wake. Hivi karibuni kupitia channel ten walionyesha shuhuda za magari kupitia Mungu wa Mzee wa Upako.

Kuna dada mmoja(yeye anajijua), huyu dada ni mtoto wa mzee Nakomolwa, kwao kabisa ni Mbeya eneo moja linaitwa Nzovwe na kwa hapa Dar anaishi Ubungo Riverside.

Dada huyu alinunuliwa gari na mume wake mwaka 2010 na hana gari jingine (ninamfahamu vizuri huyu dada).

Nimeshtuka sana kuona hivi majuzi kwenye Channel Ten akitoa shuhuda kwa kumshukuru Mzee wa Upako kumuwezesha kununua gari, anasema toka ameanza kusali kanisani kwa mzee wa upako mwaka jana ndio amenunua gari wakati anayo gari toka mwaka 2009.

Wewe ni kama dada yangu na nina kuheshimu sana, kwanini unamkosea heshima mumeo aliyekununulia gari? Kwanini unakosa hofu ya Mungu, umepewa shilingi ngapi kushiriki katika huo mpango wa kumtangazia biashara Mzee wa Upako?

Yaani mumeo ahangaike kukusanya hela akununulie gari wewe unasema ni mzee wa upako?

Huyo ni mmoja tu ambaye mimi nimemtambua, je ni wangapi ambao wametumika katika mbinu hiyo?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

Wacha bwana!
 
Last edited by a moderator:
hivi ushuhuda huu na kipande cha sabuni wanachogewa ndio kimetoka kwa mungu wa jamaa wa upako....?
 
Sikatai Mungu anawezaa kukubariki naa kukutendea miujiza. Lakini,Behold!,tumeambiwa tuichunguze sana hii miujiza. Kwa sasa watu wanacheza na akili za watu wenye uhitaji wa utajiri wa haraka haraka ili wawaibie pesa!. Hivi Chief Accountant General-CAG-Bwana Utoh na taasisi yake hawana mamlaka ya kisheria kukagua ngo na taasisi za dini kama hizi?. Tuwaache hao mabwege waliwao,lakini tujue tu mapato na matumizi ya hizi taasisi yanakwendaje.
 
hivi ushuhuda huu na kipande cha sabuni wanachogewa ndio kimetoka kwa mungu wa jamaa wa upako....?

nafkiri ZINDIKO ndo lipo kwenye hiyo sabun. Unaogea sabuni hiyo siku tatu mfululizo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom