Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Haya yamesemwa Leo na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi TANAPA William Mwakilema huko Mbeya.
Kwa mwezi mmoja tu wa July 2022 Tanzania imepokea Watalii 235,000 ambapo wamekusanya mapato ya Bilioni 47. Hizi Fedha ni nje na Fedha walizolipa watalii kwenye mahoteli na kununua bidhaa mbalimbali Kwa wafanyabiashara wetu! Mwaka Jana July tulipokea Watalii elfu 92 tu.
Kwa jitihada hizi, Kama humpongezi Mama Samia kwa jitihada zake wewe utakuwa unasumbuliwa na sonona na chuki zisizo za kawaida!
Heri ya siku ya wakulima kutokea Mbeya
Lord denning
Kwa mwezi mmoja tu wa July 2022 Tanzania imepokea Watalii 235,000 ambapo wamekusanya mapato ya Bilioni 47. Hizi Fedha ni nje na Fedha walizolipa watalii kwenye mahoteli na kununua bidhaa mbalimbali Kwa wafanyabiashara wetu! Mwaka Jana July tulipokea Watalii elfu 92 tu.
Kwa jitihada hizi, Kama humpongezi Mama Samia kwa jitihada zake wewe utakuwa unasumbuliwa na sonona na chuki zisizo za kawaida!
Heri ya siku ya wakulima kutokea Mbeya
Lord denning