Jumla wa wafanyakazi wote wa serikali (polisi, manesi, waalimu, wanajeshi n.k) ni laki 7 na hii inchi ina watu milioni karibu 60! Hawa na wafanyakazi wachache sana nafikiri serikali ingeajiri zaidi angalau jumla ya wafanyakazi ifike milioni moja au mbili!
Kupunguza wafanyakazi kwa taifa kubwa hivi ni aibu!