Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,934
Kwema wakuu!
Kampuni nyingi binafsi zimeshawapunguza wafanyakazi wake ili kubana matumizi. Na baadhi ya kampuni zingine kuhamishwa nchini au kufa kabisa maana ustawi wake umekuwa mdogo.
Serikali ina taasisi kama 450 hivi, zipo zinazojiendesha kwa mfumo usio wa kibiashara na zipo zinazojiendesha kibiashara.
Kampuni, mashirika na wakala za kiserikali ambazo ziko kibiashara kuna possibility ya baadhi kufutwa au kuunganishwa kwa maslahi ya nchi.
Taasisi A ikiunganishwa na taasisi B baada ya kuona zinawiana kidogo kiutendaji hapo watumishi kadhaa lazima watakalishwa bench.
Hii ni forecast yangu tu na si tetesi.
Kampuni nyingi binafsi zimeshawapunguza wafanyakazi wake ili kubana matumizi. Na baadhi ya kampuni zingine kuhamishwa nchini au kufa kabisa maana ustawi wake umekuwa mdogo.
Serikali ina taasisi kama 450 hivi, zipo zinazojiendesha kwa mfumo usio wa kibiashara na zipo zinazojiendesha kibiashara.
Kampuni, mashirika na wakala za kiserikali ambazo ziko kibiashara kuna possibility ya baadhi kufutwa au kuunganishwa kwa maslahi ya nchi.
Taasisi A ikiunganishwa na taasisi B baada ya kuona zinawiana kidogo kiutendaji hapo watumishi kadhaa lazima watakalishwa bench.
Hii ni forecast yangu tu na si tetesi.