dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,905
- 8,245
- Thread starter
- #61
Am sorry mimi siwezi kuanza kumuelekeza majukumu basic kama hayo. Kama wazazi wake hawakumfunza ndo basi tenaUnajua jambo ambalo mnakosea huwa mnahisi mwanamke yeyote lazima awe anajua majukumu yake km mwanamke ndani....no no no.....kuna makuzi na malezi wengine wanapitia hata hawalitambui hilo, navyojua mkitakana kuwa mke na mume kila mmoja huwa na juhudi za kumtengeneza mwenzie awe km anavyotaka