Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,123
Nchi za SADC na EAC zina mfumo wa kidemokrasia na zinatumia katiba somehow inayoendana na Tanzania. Zina sheria na kuna wapinzani ambao baadhi yao wameweza hadi kuongoza nchi mfano Zambia.
Lakini upo ustaarabu flan wa dola ambao umejengeka.; Ni aidha mpinzani kwenye nchi nyingine upo dhaifu kuliko upinzani wa Tanzania au mataifa hayo yamestaarabika.
Mfano, Tundu Lisu amefanya mikutano kanda ya ziwa hakuna mwananchi aliyechubuliwa....lakini amekwenda kwa Wamasai huko kaskazini tayari imekuwa Bingwa....Je ndio kusema watu wa huko kanda ya kaskazini hawana uhuru kama walivyo watu wa kanda ya ziwa? Kwanini tunarudia kosa lilelile la kuwabagua kama walivyofanya S gang?
Hii siyo sifa nzuri kwa nchi; ningependa tujadili kwanini tunaongoza kwa sifa hii isiyo ya Kiutu? Au wingi wa nyumba za ibada na matumizi makubwa ya vitabu vitakatifu katika maeneo mbalimbali kunatutenga na hofu ya Mungu?
Kwanini na nini kifanyike?
Lakini upo ustaarabu flan wa dola ambao umejengeka.; Ni aidha mpinzani kwenye nchi nyingine upo dhaifu kuliko upinzani wa Tanzania au mataifa hayo yamestaarabika.
Mfano, Tundu Lisu amefanya mikutano kanda ya ziwa hakuna mwananchi aliyechubuliwa....lakini amekwenda kwa Wamasai huko kaskazini tayari imekuwa Bingwa....Je ndio kusema watu wa huko kanda ya kaskazini hawana uhuru kama walivyo watu wa kanda ya ziwa? Kwanini tunarudia kosa lilelile la kuwabagua kama walivyofanya S gang?
Hii siyo sifa nzuri kwa nchi; ningependa tujadili kwanini tunaongoza kwa sifa hii isiyo ya Kiutu? Au wingi wa nyumba za ibada na matumizi makubwa ya vitabu vitakatifu katika maeneo mbalimbali kunatutenga na hofu ya Mungu?
Kwanini na nini kifanyike?