kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Wallah vile kwa mvua hizi ndo naona umuhimu wa kujenga goba tena huku kwenye miinuko
Poleni kwa mlokumbwa na mafuriko huko mabondeni
Sasa nimeamini kwanini wapare wengi na wachaga walokuja Dar walikimbilia kujenga milimani huko Ubungo Kimara hadi mbezi hadi huku Goba!!
Poleni kwa mlokumbwa na mafuriko huko mabondeni
Sasa nimeamini kwanini wapare wengi na wachaga walokuja Dar walikimbilia kujenga milimani huko Ubungo Kimara hadi mbezi hadi huku Goba!!