Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Tangu Raisi Magufuli azuie yale makontena nilianza kujiuliza hili swali ma mpaka sasa sielewi.
Je,tulitakiwa kukaa chini na kutafuta suluhu ya pamoja na tukishindwana ndio tunapelekana katika mahakama ya kimataifa iliyotajwa katika mkataba baina yetu au upande mmoja unaweza kuchukua maamuzi bila kushirikisha upande wa pili yaani ku-act unilaterally?
Au mikataba hii iko kimya juu ya hili kwa maana ya mkataba kuwa umeacha loophole katika hili?
Je,tulitakiwa kukaa chini na kutafuta suluhu ya pamoja na tukishindwana ndio tunapelekana katika mahakama ya kimataifa iliyotajwa katika mkataba baina yetu au upande mmoja unaweza kuchukua maamuzi bila kushirikisha upande wa pili yaani ku-act unilaterally?
Au mikataba hii iko kimya juu ya hili kwa maana ya mkataba kuwa umeacha loophole katika hili?