Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Bunge linaweza kumwondoa madarakani Rais

M
Wabunge wa upinzani wa raise motion ya impeachment ingawa wako wachahe lakini let it be on record!

“46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshitaki rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba rais-
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”.


Ibara ya 46A YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977; INAYOHUSU KUMUONDOA MADARAKANI (IMPEACHMENT) RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 [Cap. 2 R.E. 2002.]

ZOEZI HILI HUCHUKUA JUMLA {KAMA KILA KITU KINAKWENDA SAWA - ceteris paribus} YA SIKU 150 au miezi mitano. Kwa mfano huu mchakato ukianza leo, mwezi wa tano Raisi anakuwa kaondolewa.

Rais (Mhimili wa Utawala) anaweza kuondolewa madarakani chini ya Ibara hii kwa tuhuma za aina nne:
- kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
- Kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi [Leadership Code]
- Kukiuka vipengele vilivyomo katika maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20 (2) ya Katiba, au
- Amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

1. Ili kuanzisha mchakato huo inahitaji idadi ya asilimia 20 (20%) ya Wabunge waliopo wafikishe Notisi ya maandishi na kuiwasilisha kwa Spika. Siku 30 zipite kabla ya kikao cha kujadili hizo tuhuma: ( wabunge wa CDM pekee wanatosha kufika 20% (

2. Baada ya kupita hizo siku 30, MTOA HOJA ATAIWASILISHA BUNGENI.

-Aidha tuhuma zitupwe au
- Wapendekeze kuunda Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo.

3. Bunge litapiga kura ili iundwe Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo; lakini kura hizo lazima zifikie au zizidi theluthi mbili ya kura zote. Kama ndio,

4. Spika anatakiwa kutaja majina ya Kamati ya Uchunguzi chini ya Ibara ya 46A(4) ambao ni:
(a) Jaji Mkuu (Mwenyekiti)
(b) Jaji Mkuu wa Zanzibar
(c) Wajumbe saba wanaoteuliwa na Spika; kwa kuzingatia Kanuni za Bunge na Uwakilishi wa Vyama vya Siasa Bungeni.

Matokea ya No. 3 hapo juu chini ya Ibara 46A (5) ni kwamba

- RAis anasimamishwa kazi
- Vivyo Ibara ya 37 (3) inafanya kazi. (Edapo Rais hatakuwepo madarakani wakati huo)

Jambo hili la kumsimamisha kazi Rais litaendelea hadi hapo Spika atakapomfahamisha Rais juu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa [Ibara ya 46A (5)]

Na. 4 hapo juu Kamati inapewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake na kumpa fursa Rais ya kujieleza [Ibara ya 46A (6)]

Kamati ya uchunguzi inapewa siku 90 kukamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa Spika.

Ibara ya 46A (8) - Spika anawasilisha Ripoti ya Uchunguzi kwa Bunge

Ibara ya 46A (9) - Bunge lenye idadi isiyopungua theluthi mbili litajadili Ripoti hiyo na kumpa Rais fursa ya kujieleza.

Bunge linatakiwa liibuke na aidha ya majibu yafuatayo:

(i) Kwamba tuhuma zimethibitishwa.
(ii) Kwamba Rais hafai kuendelea kufanya kazi
(iii) Kwamba Rais hafai kuwa Rais
(iv) Kwamba tuhuma hazikuthibitishwa.

Ibara 46A(10) - Baada ya hilo kufanyika, endapo ni (i) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa kuachia ngazi (resign) ndani ya siku tatu.

MCHAKATO HUO WOOOOTE ULIOTAJWA HAPO JUU UKIFUATAWA KAMA UNAVYOTOLEWA kisheria unatakiwa kumalizika ndani ya siku 150 sawa sawa na miezi 5 kamili
Motion iende tu,itakuwa na athari kisiasa na kihistoria,itakuwa mara ya kwanza tangu nchi iumbwe
 
[quote uid=182593 name="iparamasa" post=20253022]Katiba inalipa bunge fursa ya kumwondoa mtu huyu madarakani kabla ya muda wake kama anajifanya "kichwangumu"<br /><br />Si lazima iwe 2020[/QUOTE]<br />Wabunge wa upinzani wa raise motion ya impeachment ingawa wako wachahe lakini let it be on record!<br /><br />“46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshitaki rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.<br />(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba rais-<br />(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;<br />(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba au<br />(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”.<br /><br /><br />Ibara ya 46A YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977; INAYOHUSU KUMUONDOA MADARAKANI (IMPEACHMENT) RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 [Cap. 2 R.E. 2002.]<br /><br />ZOEZI HILI HUCHUKUA JUMLA {KAMA KILA KITU KINAKWENDA SAWA - ceteris paribus} YA SIKU 150 au miezi mitano. Kwa mfano huu mchakato ukianza leo, mwezi wa tano Raisi anakuwa kaondolewa.<br /><br />Rais (Mhimili wa Utawala) anaweza kuondolewa madarakani chini ya Ibara hii kwa tuhuma za aina nne:<br />- kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.<br />- Kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi [Leadership Code]<br />- Kukiuka vipengele vilivyomo katika maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20 (2) ya Katiba, au<br />- Amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<br /><br />1. Ili kuanzisha mchakato huo inahitaji idadi ya asilimia 20 (20%) ya Wabunge waliopo wafikishe Notisi ya maandishi na kuiwasilisha kwa Spika. Siku 30 zipite kabla ya kikao cha kujadili hizo tuhuma: ( wabunge wa CDM pekee wanatosha kufika 20% (<br /><br />2. Baada ya kupita hizo siku 30, MTOA HOJA ATAIWASILISHA BUNGENI.<br /><br />-Aidha tuhuma zitupwe au<br />- Wapendekeze kuunda Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo.<br /><br />3. Bunge litapiga kura ili iundwe Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo; lakini kura hizo lazima zifikie au zizidi theluthi mbili ya kura zote. Kama ndio,<br /><br />4. Spika anatakiwa kutaja majina ya Kamati ya Uchunguzi chini ya Ibara ya 46A(4) ambao ni:<br />(a) Jaji Mkuu (Mwenyekiti)<br />(b) Jaji Mkuu wa Zanzibar<br />(c) Wajumbe saba wanaoteuliwa na Spika; kwa kuzingatia Kanuni za Bunge na Uwakilishi wa Vyama vya Siasa Bungeni.<br /><br />Matokea ya No. 3 hapo juu chini ya Ibara 46A (5) ni kwamba<br /><br />- RAis anasimamishwa kazi<br />- Vivyo Ibara ya 37 (3) inafanya kazi. (Edapo Rais hatakuwepo madarakani wakati huo)<br /><br />Jambo hili la kumsimamisha kazi Rais litaendelea hadi hapo Spika atakapomfahamisha Rais juu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa [Ibara ya 46A (5)]<br /><br />Na. 4 hapo juu Kamati inapewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake na kumpa fursa Rais ya kujieleza [Ibara ya 46A (6)]<br /><br />Kamati ya uchunguzi inapewa siku 90 kukamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa Spika.<br /><br />Ibara ya 46A (8) - Spika anawasilisha Ripoti ya Uchunguzi kwa Bunge<br /><br />Ibara ya 46A (9) - Bunge lenye idadi isiyopungua theluthi mbili litajadili Ripoti hiyo na kumpa Rais fursa ya kujieleza.<br /><br />Bunge linatakiwa liibuke na aidha ya majibu yafuatayo:<br /><br />(i) Kwamba tuhuma zimethibitishwa.<br />(ii) Kwamba Rais hafai kuendelea kufanya kazi<br />(iii) Kwamba Rais hafai kuwa Rais<br />(iv) Kwamba tuhuma hazikuthibitishwa.<br /><br />Ibara 46A(10) - Baada ya hilo kufanyika, endapo ni (i) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa kuachia ngazi (resign) ndani ya siku tatu.<br /><br />MCHAKATO HUO WOOOOTE ULIOTAJWA HAPO JUU UKIFUATAWA KAMA UNAVYOTOLEWA kisheria unatakiwa kumalizika ndani ya siku 150 sawa sawa na miezi 5 kamili
 
[quote uid=182593 name="iparamasa" post=20253022]Katiba inalipa bunge fursa ya kumwondoa mtu huyu madarakani kabla ya muda wake kama anajifanya "kichwangumu"<br /><br />Si lazima iwe 2020
<br />Wabunge wa upinzani wa raise motion ya impeachment ingawa wako wachahe lakini let it be on record!<br /><br />“46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshitaki rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.<br />(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba rais-<br />(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;<br />(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba au<br />(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”.<br /><br /><br />Ibara ya 46A YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977; INAYOHUSU KUMUONDOA MADARAKANI (IMPEACHMENT) RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 [Cap. 2 R.E. 2002.]<br /><br />ZOEZI HILI HUCHUKUA JUMLA {KAMA KILA KITU KINAKWENDA SAWA - ceteris paribus} YA SIKU 150 au miezi mitano. Kwa mfano huu mchakato ukianza leo, mwezi wa tano Raisi anakuwa kaondolewa.<br /><br />Rais (Mhimili wa Utawala) anaweza kuondolewa madarakani chini ya Ibara hii kwa tuhuma za aina nne:<br />- kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.<br />- Kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi [Leadership Code]<br />- Kukiuka vipengele vilivyomo katika maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20 (2) ya Katiba, au<br />- Amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<br /><br />1. Ili kuanzisha mchakato huo inahitaji idadi ya asilimia 20 (20%) ya Wabunge waliopo wafikishe Notisi ya maandishi na kuiwasilisha kwa Spika. Siku 30 zipite kabla ya kikao cha kujadili hizo tuhuma: ( wabunge wa CDM pekee wanatosha kufika 20% (<br /><br />2. Baada ya kupita hizo siku 30, MTOA HOJA ATAIWASILISHA BUNGENI.<br /><br />-Aidha tuhuma zitupwe au<br />- Wapendekeze kuunda Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo.<br /><br />3. Bunge litapiga kura ili iundwe Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo; lakini kura hizo lazima zifikie au zizidi theluthi mbili ya kura zote. Kama ndio,<br /><br />4. Spika anatakiwa kutaja majina ya Kamati ya Uchunguzi chini ya Ibara ya 46A(4) ambao ni:<br />(a) Jaji Mkuu (Mwenyekiti)<br />(b) Jaji Mkuu wa Zanzibar<br />(c) Wajumbe saba wanaoteuliwa na Spika; kwa kuzingatia Kanuni za Bunge na Uwakilishi wa Vyama vya Siasa Bungeni.<br /><br />Matokea ya No. 3 hapo juu chini ya Ibara 46A (5) ni kwamba<br /><br />- RAis anasimamishwa kazi<br />- Vivyo Ibara ya 37 (3) inafanya kazi. (Edapo Rais hatakuwepo madarakani wakati huo)<br /><br />Jambo hili la kumsimamisha kazi Rais litaendelea hadi hapo Spika atakapomfahamisha Rais juu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa [Ibara ya 46A (5)]<br /><br />Na. 4 hapo juu Kamati inapewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake na kumpa fursa Rais ya kujieleza [Ibara ya 46A (6)]<br /><br />Kamati ya uchunguzi inapewa siku 90 kukamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa Spika.<br /><br />Ibara ya 46A (8) - Spika anawasilisha Ripoti ya Uchunguzi kwa Bunge<br /><br />Ibara ya 46A (9) - Bunge lenye idadi isiyopungua theluthi mbili litajadili Ripoti hiyo na kumpa Rais fursa ya kujieleza.<br /><br />Bunge linatakiwa liibuke na aidha ya majibu yafuatayo:<br /><br />(i) Kwamba tuhuma zimethibitishwa.<br />(ii) Kwamba Rais hafai kuendelea kufanya kazi<br />(iii) Kwamba Rais hafai kuwa Rais<br />(iv) Kwamba tuhuma hazikuthibitishwa.<br /><br />Ibara 46A(10) - Baada ya hilo kufanyika, endapo ni (i) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa kuachia ngazi (resign) ndani ya siku tatu.<br /><br />MCHAKATO HUO WOOOOTE ULIOTAJWA HAPO JUU UKIFUATAWA KAMA UNAVYOTOLEWA kisheria unatakiwa kumalizika ndani ya siku 150 sawa sawa na miezi 5 kamili[/QUOTE]
Kinatakiwa kipigo cha kisiasa tu kumtia adabu
 
Ibara 46A ya katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatoa masharti ya wabunge kumuondoa rais madarakani . Ninatoa wito kwa wabunge kutumia haki mliyopewa katika ibara hiyo iwapo inakidhi vigezo kwa masharti yaliyokiukwa kumwajibisha rais.
 
Kweli kabisa.....wasiangalie idadi,wapeleke motion na ikibidi kutamka tamka Mara kwa Mara bungeni INA athari kisiasa
 
Wabunge wa upinzani wa raise motion ya impeachment ingawa wako wachahe lakini let it be on record!

“46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshitaki rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba rais-
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”.


Ibara ya 46A YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977; INAYOHUSU KUMUONDOA MADARAKANI (IMPEACHMENT) RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 [Cap. 2 R.E. 2002.]

ZOEZI HILI HUCHUKUA JUMLA {KAMA KILA KITU KINAKWENDA SAWA - ceteris paribus} YA SIKU 150 au miezi mitano. Kwa mfano huu mchakato ukianza leo, mwezi wa tano Raisi anakuwa kaondolewa.

Rais (Mhimili wa Utawala) anaweza kuondolewa madarakani chini ya Ibara hii kwa tuhuma za aina nne:
- kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
- Kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi [Leadership Code]
- Kukiuka vipengele vilivyomo katika maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20 (2) ya Katiba, au
- Amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

1. Ili kuanzisha mchakato huo inahitaji idadi ya asilimia 20 (20%) ya Wabunge waliopo wafikishe Notisi ya maandishi na kuiwasilisha kwa Spika. Siku 30 zipite kabla ya kikao cha kujadili hizo tuhuma: ( wabunge wa CDM pekee wanatosha kufika 20% (

2. Baada ya kupita hizo siku 30, MTOA HOJA ATAIWASILISHA BUNGENI.

-Aidha tuhuma zitupwe au
- Wapendekeze kuunda Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo.

3. Bunge litapiga kura ili iundwe Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo; lakini kura hizo lazima zifikie au zizidi theluthi mbili ya kura zote. Kama ndio,

4. Spika anatakiwa kutaja majina ya Kamati ya Uchunguzi chini ya Ibara ya 46A(4) ambao ni:
(a) Jaji Mkuu (Mwenyekiti)
(b) Jaji Mkuu wa Zanzibar
(c) Wajumbe saba wanaoteuliwa na Spika; kwa kuzingatia Kanuni za Bunge na Uwakilishi wa Vyama vya Siasa Bungeni.

Matokea ya No. 3 hapo juu chini ya Ibara 46A (5) ni kwamba

- RAis anasimamishwa kazi
- Vivyo Ibara ya 37 (3) inafanya kazi. (Edapo Rais hatakuwepo madarakani wakati huo)

Jambo hili la kumsimamisha kazi Rais litaendelea hadi hapo Spika atakapomfahamisha Rais juu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa [Ibara ya 46A (5)]

Na. 4 hapo juu Kamati inapewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake na kumpa fursa Rais ya kujieleza [Ibara ya 46A (6)]

Kamati ya uchunguzi inapewa siku 90 kukamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa Spika.

Ibara ya 46A (8) - Spika anawasilisha Ripoti ya Uchunguzi kwa Bunge

Ibara ya 46A (9) - Bunge lenye idadi isiyopungua theluthi mbili litajadili Ripoti hiyo na kumpa Rais fursa ya kujieleza.

Bunge linatakiwa liibuke na aidha ya majibu yafuatayo:

(i) Kwamba tuhuma zimethibitishwa.
(ii) Kwamba Rais hafai kuendelea kufanya kazi
(iii) Kwamba Rais hafai kuwa Rais
(iv) Kwamba tuhuma hazikuthibitishwa.

Ibara 46A(10) - Baada ya hilo kufanyika, endapo ni (i) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa kuachia ngazi (resign) ndani ya siku tatu.

MCHAKATO HUO WOOOOTE ULIOTAJWA HAPO JUU UKIFUATAWA KAMA UNAVYOTOLEWA kisheria unatakiwa kumalizika ndani ya siku 150 sawa sawa na miezi 5 kamili
mimi naona kwa mujibu wa vifungu ulivyoweka nitashangaa ikiwa BABA BASHITE ataendelea kuwa ktk kiti chake pindi bunge likirejea.
vipengele hivi vyote sio tu amevuvunja bali amevisIgina na kuvitia uchafu ambao hautofutika mpaka mwisho wa dunia utafika.

(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;(KUINGILIA MIHIMILI YA MAHAKAMA NA BUNGE KILA WAKATI, KUSHIRKIANA NA BASHITE KUWABLACKMAIL WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA NA KUWACHUKULIA MALI ZA( V8 BLACK ANALOTUMIA MAKONDA, BMWX6 ANALOTUMIA MAKONDA, KUCHUKUA HONGO KUTOKA GSM FORD RANGER NA NYENGINE TUSIZOZIJUA)


(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba (AMEZUIA MIKUTANO YA KISIASA AMBAYO NI HAKI YA KIKATIBA KWA MUJIBU WA SHERIA-MWAKYEMBE HIVI KARIBUNI ALISEMA HAKUNA SHERIA INAYOZUIA MIKUTANO YA KISIASA)

(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”(kumtetea BASHITE NA KUSHIRKIANA NA BASHITE KUMPANGA MWANAMKE KUTUMIKA KUMCHAFUA GWAJIMA NA PIA KUSHIRIKIANA NA BASHITE KWENDA KUVAMIA KITUO CHA CLOUDS)
 
mimi naona kwa mujibu wa vifungu ulivyoweka nitashangaa ikiwa BABA BASHITE ataendelea kuwa ktk kiti chake pindi bunge likirejea.
vipengele hivi vyote sio tu amevuvunja bali amevisIgina na kuvitia uchafu ambao hautofutika mpaka mwisho wa dunia utafika.

(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;(KUINGILIA MIHIMILI YA MAHAKAMA NA BUNGE KILA WAKATI, KUSHIRKIANA NA BASHITE KUWABLACKMAIL WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA NA KUWACHUKULIA MALI ZA( V8 BLACK ANALOTUMIA MAKONDA, BMWX6 ANALOTUMIA MAKONDA, KUCHUKUA HONGO KUTOKA GSM FORD RANGER NA NYENGINE TUSIZOZIJUA)


(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba (AMEZUIA MIKUTANO YA KISIASA AMBAYO NI HAKI YA KIKATIBA KWA MUJIBU WA SHERIA-MWAKYEMBE HIVI KARIBUNI ALISEMA HAKUNA SHERIA INAYOZUIA MIKUTANO YA KISIASA)

(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”(kumtetea BASHITE NA KUSHIRKIANA NA BASHITE KUMPANGA MWANAMKE KUTUMIKA KUMCHAFUA GWAJIMA NA PIA KUSHIRIKIANA NA BASHITE KWENDA KUVAMIA KITUO CHA CLOUDS)
Bunge lifanye kazi yake
 
Mpaka sasa hivi sijaona sababu yeyote yenye mashiko ya kumuondoa rais madarakan kwenye nchi Kama Tz . Rais aachwe atekeleze majukumu yake .
 
Hivi kwa akili zako zinazokutosha unaona kuna mbunge yeyote aliye tayari kumuondoa raiai madarakani halafu na yeye arudi kwenye uchaguzi jimboni kugombea ubunge ambao hajui atashinda?

Kwa kipi hasa? Mitandao ya kijamii ambayo watumiaji wake hawafiki hata 5% ya watanzania waliomchagua? Hivi mnadhani nchi inaendeshwa kwenye mitandao ya kijamii? Au maendeleo yanapatikana kwenye mitandao ya kijamii?
Natamani tuwe kama china, piga marufuku social media zote, twitter, Instagram, nakadhalika ili watu tufanye kazi tujiletee maendeleo binafsi na nchi pia.
 
Hatufai...kwa kweli...utasema sio huyu aliyekuwa anatupigia pushapu...duh kweli mambo yamebadirika
 
Kweli kabisa.....wasiangalie idadi,wapeleke motion na ikibidi kutamka tamka Mara kwa Mara bungeni INA athari kisiasa
Kutamka tamka kivipi wakati hata kumtjaja raisi bungeni kanuni haziruhusu, Jamani hebu fanyeni mambo mengine hili la kumwondoa rais haliwezekani
 
Screenshot_20170320-181701.png
 
Back
Top Bottom