Kwa Mujibu wa Fitch Rating, Tanzania yaizidi Marekani kwa kasi ya Ukuaji wa Uchumi

Kwa Mujibu wa Fitch Rating, Tanzania yaizidi Marekani kwa kasi ya Ukuaji wa Uchumi

Julias Vimvinyira

Senior Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
155
Reaction score
205
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.
 
Tanzania inapiga hatua kubwa sana za kiuchumi chini ya Jemedari Samia. Kushupaza mishipa ya shingo hakutaweza kuwasaidia chochote kuupotosha ukweli na uhalisia huo.
 
Tanzania inapiga hatua kubwa sana za kiuchumi chini ya Jemedari Samia. Kushupaza mishipa ya shingo hakutaweza kuwasaidia chochote kuupotosha ukweli na uhalisia huo.
Mtamtetea sana huyo ajuza wenu na bado info zinawakataa, nyooo chawa wapumbavu nyie. Mtaokoteza na kutunga sana taarifa na bado mtashindwa wehu nyie
 
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.
Mambo ya ajabu sana haya. Ni lini kasi ya GDP growth ya Marekani imewahi kuwa kubwa kuliko ya Tanzania? Speed ya cargo ship haiwezi kuwa sawa na speed ya recreational speedboats. A small economy can easily double. Hata kwenye soko la hisa, penny stocks huwa zina uwezo wa kuongezeka astronomically (by e.g., 450%, 780%, etc. ) within a short period of time, lakini zile stocks zinazouzwa kwa bei kubwa (mamia au maelfu) hazina uwezo wa kuongezeka kwa style hiyo.
 
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.
Mtoa taarifa na wewe umechanganyikiwa?
 
Kuna watu wanaandika mambo utadhani hawaishi Tanzania.
Kubeti Kuna kuza uchumi?
Kuendesha boda boda kunakuza uchumi?
Kuongezeka kwa viwanda vya pombe ndio kukuza uchumi?
Ashanti gold wakivuna dhahabu yetu na kuipeleka kusikojulikana wachumi wanasema GDP imeongezeka, unaamini huo upuuzi?
Mtu akikuambia unakopesheka hakutakii mema, ni sawa sawa na kumsifia mwanamke aliyetia mkorogo kwamba ni mweupe.
Siku moja panda basi nenda mpaka Kigoma kupitia Kahama wakati wa kurudi panda treni usilale safarini.
 
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.

Kuna wakati uwa mnatuona wabongo kama mazezeta hivi
 
Ili kuelewa investors thinking walau kwanza uwe na uwezo wa kusoma financial statements za makampuni na kuelewa ratios zifuatazo:
1. Short term solvency (liquidity ratios)
2. Acitivity Ratios (Working capital)
3. Financial leverage (gearing ratio)
4.Profitability ratios
5. Valuation (investors ratio).

Huo ndio msingi wa evaluation wanaotumia ‘credit raters’ kwenye ku-analyse uwezo wa nchi.

What nonsense they write thereafter ili uwape kazi tena is not so much important kwenye market. Huko kukupamba umuhimu wake ni kukupa tender.

Investors wanaangalia credit rating; Anything from B rating is junk bond to mitigate the risks yeyote atakae nunua kutokana na risk interest payment lazima iwe kubwa.

Sasa kusifia B rating, you must be very stupid and clueless on financial institutions.

Ndio maana amkuelewa dhamira ya Magufuli kutaka taasi za serikali kuifadhi hela hadhina.

CRDB ina vitengo vya retail banking na commercial banking.

On commercial aspect of their banking utaratibu wa kununua hisa za serikali za miaka 20 hilo hela wanatoa wapi kwa kiasi kikubwa zaidi ya taasisi za serikali zenye savings accounts.

Kwa hivyo serikali inajikopesha kwa hela.

Yaani kama watanzania amkumuelewa Magufuli you deserve what you are getting.

Magufuli alikuwa mzalendo alie ipenda nchi na vita yake aikuwa ndogo kama tunavyodhani.

Zaidi ya mafisadi, raia wa kawaida ambae anamtukana Magufuli ni mungu tu anaweza mponya.
 
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.
Uwepo wa shule ni muhimu, hayo uliyoyaeleza hapo kuwa ukuaji wa uchumi umekuwa kwa asilimia 5.9 hauakisi uondoaji wa umaskini. Hiyo 5.9 ni ukuaji kulinganisha na GDP yetu ambayo ni USD Bil. 86, Marekani uchumi wake unakuwa kwa asilimia 1.2 kulinganisha na GDP ya USA ambayo ni USD Trillion 29 ambayo ni mara 300 ya uchumi wetu, bado ongezeko la uchumi wetu ni negligible. Ni sawa na kusema kuwa miaka michache iliyopita uchumi wa Sierra Leone ulikuwa kwa zaidi ya asilimia 11.2 lakini ongezeko hilo ni dogo sana kwa sababu uchumi wa Sierra Leone kwa GDP upo chini sana.
 
KAMPUNI ya kimataifa ya Fitch Rating inayojihusisha kufanya tathmini ya nchi kukopesheka katika masoko ya mitaji ya kimataifa, imeithibitisha Tanzania kuwa na uchumi thabiti wenye uwezo wa kukopesheka katika masoko ya mitaji kimataifa.

Kupitia taarifa ya kampuni hiyo iliyochapisha hivi karibuni, ilieleza uthibitisho huo umechangiwa na ukuaji imara wa Pato la Taifa (GDP), mfumuko mdogo wa bei, usimamizi mzuri wa sera za uchumi na kuimarisha ushirikiano na taasisi za kimataifa.

Taarfa hiyo ilieleza kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.9 mwaka 2025, ukichochewa na sekta za kilimo, madini, utalii, uwekezaji katika miundombinu kama mradi wa reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere.

Vilevile, ilieleza kuwa Tanzania imepongezwa kwa kudhibiti mfumuko wa bei ambao umebaki ndani ya lengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) la asilimia tatu hadi tano, kuboresha usimamizi wa fedha za umma ambapo madeni yaliyokuwa yakisubiri kulipwa kwa wazabuni na marejesho ya VAT yamepungua kutoka asilimia 1.2 ya GDP mwaka 2022 hadi asilimia 0.4 kufikia Machi mwaka huu.

Fitch ilieleza kupitia matokeo hayo kwamba wanatarajia mwelekeo wa sera kuendelea kuwa thabiti chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, jambo litakaloendelea kuwavutia washirika wa maendeleo na wawekezaji nchini.

Ripoti hiyo ilieleza kuwa, Tanzania imeweza kudumisha akiba ya fedha za kigeni ambapo hadi Machi mwaka huu ilifikia dola bilioni 5.7 sawa na uwezo wa kulipia uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka nje kwa miezi 4.2.

Kadhalika, Fitch ilieleza kuwa kuongezeka kwa akiba ya fedha za kigeni, kuendeleza utekelezaji mzuri wa sera za uchumi na kuendelea kuvutia wawekezaji wa sekta binafsi kunaweza kuiwezesha Tanzania kupandishwa daraja zaidi.
Hii habari njema
 
Acheni stori nyingi, tafuteni njia ya kupunguza deni la Taifa la trillioni 107.
 
images.jpg

BHaaaaaaaaas .....MMEKWISHA
 
Tanzania inapiga hatua kubwa sana za kiuchumi chini ya Jemedari Samia. Kushupaza mishipa ya shingo hakutaweza kuwasaidia chochote kuupotosha ukweli na uhalisia huo.
Tuki compare mambo mengine kama demokrasia na mambo ya haki kelele zinaanza tusiingiliwe mambo yetu ya ndani🤣🤣🤣🤣

No reform No Election
 
Back
Top Bottom