Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
PICHA #1: Aina ya usafiri wa Public, wapi mradi wa mabasi yaendayo kasi?
PICHA #2: Kulala ofisini, 80% ya Wabongo hutumia wastani wa masaa 2-4 ya kazi kuzalisha dhidi ya 8 yanayohitajika
PICHA #3: Wabongo wengi tunapenda sana starehe kupita kiasi kuliko kazi
PICHA #4: Usafiri wa treni sidhani kama upo wa uhakika?
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe, fanya kazi kwa bidii uijenge nchi yako acha kulalama kwani mwisho wa viongozi wasio wazalendo na MAFISADI umekaribia....