Tukiwa mkutano fulani wa Human Rights, Lusaka, hoteli ya Pamodzi, host wetu ili ku save cost, wakatupangia shared rooms kwa country men. room mate wangu akafika bei kwa Mswazi mmoja, akakubaliwa tatizo likawa tuko shared room mimi nitakwenda wapi?!, demu akamwambia no problem, mimi ndio nitamtoa room mate wangu aje kwako, na wewe si una room mate?!, jamaa aliponipa huo mchongo, nikaona kama zali, maana sample za Zambia, ni kama za Malawi au Nchumbiji, ukiachia wamulato, wengi wote wako wako tuu, sura za kiume!.
Nikawa introduced kwa huyo room mate, you don't have to say much!, (japo kunako, sio kivile kama hivyo visura!), ni mpaka asubuhi!, akarudi kwake na room mate wangu karudi tukahadidhiana tulivyo faidi!. Siku ya nikijua ni hivyo hivyo kama jana!, kumbe kwenye conference,kuna mtu kaona, kafika bei, kaamua kulipia full full room peke yake, room mate wangu kaenda akakuta anasubiriwa, mimi ni subiri, subiri na wewe!, napiga simu kule naambia katoka, hayupo!. Siko hiyo ikapita bila bila, jamaa akanipa tuu pole!.
Kesho yake kwenye conference room namuona mimi najifanya kukasirika kuwa jana ulilala wapi?, huwezi amini, nilishikwa mkono nikaonyeshwa this is my new friend from Kenya, this is my friend from Tanzania!, that was it!. Yule demu wa room mate wangu, akaniambia don't mind, after all I'm the one who gave you my sister, don't worry she can came back to you tomorrow!, nilisusa!.
Wenzetu sio wachoyo kabisa!, wanagawa tuu kama pipi, bila aibu na bila any regret, hivyo hilo ziwa ni hapo tuu, asili yao hawana hata lile vazi la pich.!, ile issue ni kama kushake hands tuu!.
P.