Hahahaa.......!Huyu ndo' mzazi wa yule mwenye kiuno bila mfupa???maana nimekizoom kiuno hapo juu kama vinaendana endana hiviii,...
MA (Kiswahili), BA (Pol. Sc & Lang)
Yaani mimi nikionaga mapoyoyo kama hawa nazidi tu kuwa na hasira dhidi ya Magufuli (japokuwa ni mtu ambaye namkubali vibaya mno) tatizo ni moja tu kwanini analea lea watu wasio na aibu na staha(wapuuzi) kama huyu!?wamempa nini? Mheshimiwa raisi hawa viongozi unawaokota wapi!?,nchi hii inayosifika kwa ustaarabu wa amani na upendo ilipaswa serikali yake ijazwe viongozi wastaarabu tu kariba ya Balozi Possi
Wengi ndo mnamsikia leo au mnamfaham tu huyu ndo rc wa mbeya anayetoa matamko yenye utataView attachment 1193066
akili yake inaonekana ipo tumboni kwenye kitambiWengi ndo mnamsikia leo au mnamfaham tu huyu ndo rc wa mbeya anayetoa matamko yenye utataView attachment 1193066