Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
19,021
Reaction score
9,177
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali Na 1. Wa mwaka 2013, wenye Kumb. Na.CAC.205/228/01/C/14 wa Julai 2, 2013 uliosainiwa na Katibu mkuu Utumishi Ndugu George D. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

NGAZI YA ELIMU
UALIMU/ ELIMU
KILIMO
AFYA
Certificate (Cheti)
Tsh 344,000/=
Tsh 1,060,000/=
Tsh 562,000/=
Diploma (Stashahada)
Tsh 432,500/=
Tsh 1,252,000/=
Tsh 821,000/=
Degree (Shahada)
Tsh 589,000/=
Tsh 1,473,000/=
Tsh 994,000/=

[TD="colspan: 4"] Jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu


[/TD]
 
Kwisha habari yenu wakati mbunge ndo posho ya siku moja mwalimu anaitafuta kwa mwezi tena na kodi juu
 
Halafu utakuta kuna waalimu wenzetu bado wanaisupport hii serikali. Aisee sijui wanakuwaga wametumwa?
 
kwa mujibu wa waraka wa watumishi wa serikali Na 1. Wa mwaka 2013, wenye Kumb. Na.CAC.205/228/01/C/14 wa Julai 2, 2013 uliosainiwa na Katibu mkuu Utumishi Ndugu George D. Yambeshi. Unaoonyesha marekebisho ya mishahara kwa watumishi wa serikali. Katika waraka huu unaendelea kudidimiza kada ya ualimu kulingana na kada zingine kama vile kada ya afya, sheria na kilimo na utafiti ambapo kada hizi hulipwa mishahara mikubwa kuliko ya walimu.

NGAZI YA ELIMUUALIMU/ ELIMUKILIMOAFYA
Certificate (Cheti)Tsh 344,000/=Tsh 1,060,000/=Tsh 562,000/=
Diploma (Stashahada)Tsh 432,500/=Tsh 1,252,000/=Tsh 821,000/=
Degree (Shahada)Tsh 589,000/=Tsh 1,473,000/=Tsh 994,000/=

[TD="colspan: 4"] Jedwali hili ni kwa mujibu wa waraka huo uliotajwa hapo juu

[/TD]

Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.
 
Nina wadogo zangu watatu wanasomea ualimu , najuta kuwapeleka huko !
 
Tatizo la waalimu wengi wanatarajia matokeo mwishoni yawe sawa na uku serikali inaangalia vyanzo vya elimu yenu!
Div 4......Ualimu na Div 3 za mwisho yani mtu ana ka pass au credit moja anataka awe sawa na mtu Div 1 au Div 2 wanaoenda Afya na law! jamani acheni mbwembe na wala msitumie wingi wenu kudai visivyowezekana serikal sio malofa hadi wawaweke kundi moja na Golden Boy!...nyie simefundishwa kwenye psychology kuhusu Golden boy, silver na IRON BOY!
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Tatizo la msing tulilonalo Tanzania ndio hilo ndugu yangu nkyalomkonza. Mpaka hapo watu wa DIV I watapoingia ualimu, sioni namna mishahara ya waalimu itaboreshwa.

Ufumbuzi unaweza kuwa walimu wapate mishahara kama hiyo ya Kilimo kwa sharti kwamba wawe na daraja la kwanza au la pili katika elimu yao ya kidato cha nne. Najua itakuwa ngumu lakini lazima tujaribu. Mshahara wa Mwl mwenye degree pia iangalie matokeo yao ya kidato cha nne.

Ndio maana ukiangalia ajira ya Chuo Kikuu, Dar es Salaam, sio kwamba wanangalia tu elimu ya degree ya Masters au PhD - lazima matokeo ya kidato cha nne na cha sita yawe kiwango kinachotakiwa. Kwa maana hiyo mtu aliyejiendeleza au kuungaunga hawezi kuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu. Wengi wamekosa ajira kwa sababu hiyo. Hili linaweza kufanywa kwa walimu.

Lazima tu tufike mahali ualimu usiwe ni sehemu ya kwenda baada ya kukosa sehemu zote nyingine. Upo usemi mitaani siku nyingi kwamba lol amekosa hata ualimu!!
 
duh,yani lusinde ni standard seven failure lakini anasunda milioni kumi kwa mwezi!!!!!!!nchi ya ajabu sana hii
 
Samahani usi generalize , mimi nimeingia UDSM mwaka 2001 na point 8 CBG Bachelor of Science with Education, hivyo siyo walimu wote wenye IV naomba tutakane radhi.
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.
 
Samahani usi generalize , mimi nimeingia UDSM mwaka 2001 na point 8 CBG Bachelor of Science with Education, hivyo siyo walimu wote wenye IV naomba tutakane radhi.

Wewe utakuwa ni tone la mafuta Baharini. Taaluma ya ualimu tunaijua na Sifa za kujiunga huko tunazifahamu ndugu yangu.
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

nakuunga mkono kiongozi. hapo hujaweka wale walimu wa leseni ambao hata hayo mafunzo ya ualimu hawajapitia.
 
Je na wale wanaotumia vyeti vya ndugu zao, si wanapata mishahara bila kwenda shule?
Hongereni walimu mnaokula mishahara kwa KISHINDO bila kuwa na elimu kichwani. Nchi tamu sana hii!
 
Noaomba ufanye utafiti wa haraka haraka uniambie watu waliosoma uwalimu pale UDSM kabla 2006 walikuwa wanaingia na point ngapi. pili ulizia mshahara wa tutorial assistant wa pale UDSM, UDOM,na vyuo vingine ujue analipwa bei gani wakati wote wameingia chuo na point sawa na hata wakapata GPA zinazo fanana tufauti ni kwamba mmoja ataajiriwa kama tutorial assistance pale UDSM or SUA or UDOM na mwingine ataajiriwa kama education officer II ila mishahara inakuwa tofauti kabisa why?

Wewe utakuwa ni tone la mafuta Baharini. Taaluma ya ualimu tunaijua na Sifa za kujiunga huko tunazifahamu ndugu yangu.
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

sio walimu wote wana DIV 4 kama unavyosema! Wapo wana 1-4
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Nimekuelewa kumbe walimu VILAZA,
Je mmeweka hii makusudi kuwa walimu wawe vilaza ili wafundishe watoto madudu na mwisho wasiku TANZANIA iwe ya wanzanchi VILAZA wasio weza kuwaza wala kuhoji ?
 
Wanawageuza walimu manamba nchi hii!!!!!!!!!!!!!!
 
Katika uchambuzi wako weka na Jedwali la sifa za kujiunga Ualimu, Kilimo na Afya.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]Ualimu[/TD]
[TD]Div IV[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilimo[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afya[/TD]
[TD]Div I-III[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Baada ya hapo tafakari jibu utalipata kirahisi sana ndugu yangu.

Aisee hii mbona inakaukweli ndani yake! Dah sikuwahi kufikiria hivyo hapo mwanzo ila kwa sasa inabidi wawe wapole tu kama kigezo ndio hicho.
 
Halafu utakuta kuna waalimu wenzetu bado wanaisupport hii serikali. Aisee sijui wanakuwaga wametumwa?

...umeona eeeh!...yaaani we acha tu mkuu...kuna mijitu(walimu) mingine ukiiangali unaiona-inafanana na binadamu wa kawaida lakini kumbe ni misukule,hipo hipo tu wala hata hajitambui...
 
mkuu tatizo lako ni nini katka hii mishahara.
 
Back
Top Bottom