Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,358
- 5,872
Kuna daktari mmoja alikuwa anakaribia kununua nyumba Msasani. Wakati anaendelea na zoezi hilo, ghafla 'taasisi mojawapo ya taasisi zinazopiga kelele', wakaanza makelele yao. Yule dk akaghairi kuinunua ile nyumba.
Changamoto kubwa iliyopo kwenye majiji makubwa yanayokua kwa kasi ni ugumu wa kupata sehemu tulivu ya kuishi, isiyo karibu na 'taasisi zinazopiga kelele'.
Kwa hiyo nikawaza kama watapatikana hawa wanaonunua mashamba ili kupima viwanja wakaweza kuepusha wateja wao kuwa karibu na 'taasisi zinazopiga kelele', watapiga sana pesa!
Changamoto kubwa iliyopo kwenye majiji makubwa yanayokua kwa kasi ni ugumu wa kupata sehemu tulivu ya kuishi, isiyo karibu na 'taasisi zinazopiga kelele'.
Kwa hiyo nikawaza kama watapatikana hawa wanaonunua mashamba ili kupima viwanja wakaweza kuepusha wateja wao kuwa karibu na 'taasisi zinazopiga kelele', watapiga sana pesa!