Kwa mlio kwenye system, tujuzeni lile crane la tani 26 liliagizwa toka Sayari ipi?

Kwa bahati nzuri mimi nimefika Stiglaz na kuona maendeleo ya kazi.

Pressure ya kazi haipo kwenye kuzuia maji ili kutengeneza bwawa, pressure iko katika kuinua tuta la bwawa (Dam) na kujenga powerhouse itakayofungwa mitambo 9(turbines), kila turbine ikiwa na uwezo wa kufua umeme 235MW, au kwa turbine zote 9 , umeme utakaofuliwa ni 2115MW.

Haya masuala ya crane ni hype ya waandishi wa habari ambao hawana idea nini kinaendelea.
Utasemaje crane ni hype za waandishi wa habari wakati a liyeongea ni waziri?
 
Crane ina umuhimu sana bila crane milango hiyo haitainuliwa na kushushwa huko chini.
Lakini crane hujengwa pia hufanyiwa majaribio yaani operational and safety run test. Kwa kuwa hizi crane zitasimikwa permanently,bora wangezijengea hapo hapo yaani assembling harafu zikajaribiwa huko huko kwenye dam,kwani lazima zipewe cheti cha ubora na certified plant inspectors.
Bila kufunga milango maji hayatajazwa.Pia unaweza ukakuta milango haipo sawa inataka kurekebishwa.Hivyo kuwepo crane mapema zilizo tiyari ni muhimu hata kujaribu milango yenyewe. Mleta hoja ana point.
Labda Tanesco ina msemaji wa mradi angetusaidia zaidi kutupa habari kamili.
 
Maji yanaweza kujazwa hata kwa muda wa miaka miwili, sio kwamba yanajazwa leo kesho yamejaa; anyway, mimi ninachotaka kujua, hilo Crane liko wapi ili tuanze kujaza maji hilo bwawa? Wameliagiza sayari ipi? Jupiter au Mars?
Kama ukifika kwenye mradi utajidhirishia kuwa hilo hoist gate, na sio crane, ni kitu kidogo mno kwenye ujenzi wa bwawa, na hakihitajiki muda huu.
Nawezakufananisha na mtu anayeanza msingi wa nyumba, halafu anaomba kufungiwa umeme!
 
Crane ina umuhimu sana bila crane milango hiyo haitainuliwa na kushushwa huko chini.
Lakini crane hujengwa pia hufanyiwa majaribio yaani operational and safety run test. Kwa kuwa hizi crane zitasimikwa permanently,bora wangezijengea hapo hapo yaani assembling harafu zikajaribiwa huko huko kwenye dam,kwani lazima zipewe cheti cha ubora na certified plant inspectors.
Bila kufunga milango maji hayatajazwa.Pia unaweza ukakuta milango haipo sawa inataka kurekebishwa.Hivyo kuwepo crane mapema zilizo tiyari ni muhimu hata kujaribu milango yenyewe. Mleta hoja ana point.
Labda Tanesco ina msemaji wa mradi angetusaidia zaidi kutupa habari kamili.
Halafu ni la kukodi, sivyo?
 
Halafu ni la kukodi, sivyo?
Mhh bora kununua letu,something is not correct, lifespan ya mradi inaweza kuwa miaka 100 au zaidi na lifespan ya crane labda miaka 20 kwani matumizi yake ni kidogo sana.unaweza kubadirisha complete 5 cranes in 100 years.
Pammoja na hayo crane siyo gharama sana,bora ununee lako lipo kwenye site,unalifanyia planned Maintenance litadumu hata miaka 20 kuliko kukodi.
Kama wana matatizo ya upeo waombe msaada.
 
Mhh bora kununua letu,something is not correct, lifespan ya mradi inaweza kuwa miaka 100 au zaidi na lifespan ya crane labda miaka 20 kwani matumizi yake ni kidogo sana.unaweza kubadirisha complete 5 cranes in 100 years.
Pammoja na hayo crane siyo gharama sana,bora ununee lako lipo kwenye site,unalifanyia planned Maintenance litadumu hata miaka 20 kuliko kukodi.
Kama wana matatizo ya upeo waombe msaada.
Hilo crane unalosema linatakiwa kufungwa hapo kwa ajili kufunga na kufungua milango ya bwawa, ambalo ni permanent, litabebwa na nini ili kufungwa hapo kwenye bwawa? Na hiyo milango itabebwa na nini ili kufungwa hapo kwenye hilo crane la kuifunga na kuifungua? Makamba alikuwa anaongelea crane la kubeba milango kutoka ilipo na kuifunga kwemye malango au alikuwa anazungumzia crane la kuiendesha hiyo milango? Mnamfanya nani mtoto mdogo?

Eitherway; hilo crane la tani 26 liko wapi?
 
Wanasiasa watu wa ajabu sana. Lile bwawa ukweli ni kwamba kukamilika kwake ni 2025 ila 2024 watafanya majaribio ya tundu moja kati ya 9 kuanza kuzalisha umeme.
 
crane bado lipo kwa mzee makamba ,linanyanyua milango ya mabanda ya nguruwe ,halafu baada ya hapo litaletwa kunyanyua hiyo milango ya bwawa.

ktk wazir ambae amejionyesha was Waz ni mhuni na tapeli ni huyu jamaa.halafu kesho yake ,akasahau Kama alidanganya nn kuhusu kuchelewa kwa kujazwa maji bwawani,akaja na hii maji hayatoshi mtoni, baadae akaja na sabab nyngne ha ha ha ,baba tapel ,mtt tapel ,daaah !!
 
Back
Top Bottom