kwa mfano.........wewe ungefanyaje?

Ni mfano mgumu kidogo lakin ktk suala la afya itabidi tu umpeleke. Ila kama kuna altenative way then do the best...
 
nope, siwezi.

Acha nikutane na nisiowajua ya huko yabaki huko huko.

Naskia wapo wanaotanguliza doto, afu shemejio anaona?? Au mmeo??

No way! Hapana, no no no no

hata nikijaribu kuimagine tu siwezi, hapana kabisa.

Walaa ilienda vyema.. Halafu huwa tunakutana nae sana nikiwa ña babie wangu amekuwa sasa. Usiogope Kongosho! Let nature take place
 
Mbona mnakomalia tuu mambo ya uzazi, Hata mwanaume Kama TIGO inajipu au uvimbe, Ndo utakufa nalo kwa aibuu?
 
stop kabisa.

Kuna baba daktari jirani yangu alimchoma binti valium akambaka.

Weee, hakuna cha trained kwenye dunia ya leo ilojaa uhaya.wani.

Utakuna maneno mtaani, fulani na kuriiinga mkewe ana jino na pembe, nani anataka haya??
haina tatizo unless wewe kila unayemuonyesha mwili unawaza pumbbu

medical are trained to respect clients
 
Naona mnaongelea magonjwa kama issue ya kwenda 'fiesta'..ambayo unapanga na kujiandaa..
Hivi umebanwa kabisa na maisha yako hatarini utaanza kuchagua madokta???..
Hivi ingekuwa ndiyo mambo haya kungekuwa na 'dakatri wa familia' kweli??
Yeyote aliye tayari no matter tunafahamiana atamtibu mkewangu au mimi mwenyewe provided ana 'qualify' kwenye case husika...
 
lets be realistic on this thing, unachokihitaj ni huduma bora ama mtu? kama huduma bora inapatikana kwake kwanini usiende kwake? labda kwakua nyie wa siku hizi mna madokta kabisa mimi huwa naenda changanyikeni anayekuwepo zamu ananizalisha narudi home sina cha dr wangu kwenye uzazi hata siku moja.

on the other hand kama unapanga kuwa dr wako hasa kwenye mambo ya uzazi basi ni afadhali ukamchagua mtu asiye kujua ili kuweza kukupa privacy ya kutosha. manake ukweli ni kwamba uchi wa mtu na aibu siku zote. Ila hili fanya kwasababau unachagua ukiwa na akili zako lakin kama umebanwa kwenye engo ngumu usibague hata siku moja acha upatiwe huduma.
 
Mbona mnakomalia tuu mambo ya uzazi, Hata mwanaume Kama TIGO inajipu au uvimbe, Ndo utakufa nalo kwa aibuu?

Uzuri madaktari wengi ni wanaume kwa hiyo sio ishu sana hii. Tatizo ni upande wa akina mama, madaktari bingwa wa akina mama nao ni wanaume hapo chacha. Msije nifanya nirudi darasani kupiga ma-jinakolojia lol
 
stop kabisa.

Kuna baba daktari jirani yangu alimchoma binti valium akambaka.

Weee, hakuna cha trained kwenye dunia ya leo ilojaa uhaya.wani.

Utakuna maneno mtaani, fulani na kuriiinga mkewe ana jino na pembe, nani anataka haya??

Kongs mimi simo hapo kwenye red, ngoja wenyewe waje hapa lol
 
stop kabisa.

Kuna baba daktari jirani yangu alimchoma binti valium akambaka.

Weee, hakuna cha trained kwenye dunia ya leo ilojaa uhaya.wani.

Utakuna maneno mtaani, fulani na kuriiinga mkewe ana jino na pembe, nani anataka haya??
wa kubaka sio lazima awe jirani, anaweza kuwa stranger au jirani

unachanganya vitu viwili, unethical doctors na kazi ya daktari

wangapi wanaachia mahausigelo watoto muda wote na wangapi wanapata dhahma za hausigelo kwa watoto???

anyway its all your to decide, i wouldnt mind rafiki gynaecologist ku-attend mke wangu as long as they are all respecting their roles... anaweza awe gynaecologist, asimuattend na bado akagonga; au asiwe hata daktari na akagonga

everything depends on some factors na kumzuia kuattend si tija kiasi hicho, unless hatujui kazi za daktari
 
daaah shem wangu achungulie na kujua ramani ya k yangu ..hapana kwa kweli..

uchungu haujakukamata wewe!chezee'eya labor wewe,unaweza kumwita hata babako mzazi akuzalishe nini rafiki wa mumeo!
 
lets be realistic on this thing, unachokihitaj ni huduma bora ama mtu? kama huduma bora inapatikana kwake kwanini usiende kwake? labda kwakua nyie wa siku hizi mna madokta kabisa mimi huwa naenda changanyikeni anayekuwepo zamu ananizalisha narudi home sina cha dr wangu kwenye uzazi hata siku moja.

on the other hand kama unapanga kuwa dr wako hasa kwenye mambo ya uzazi basi ni afadhali ukamchagua mtu asiye kujua ili kuweza kukupa privacy ya kutosha. manake ukweli ni kwamba uchi wa mtu na aibu siku zote. Ila hili fanya kwasababau unachagua ukiwa na akili zako lakin kama umebanwa kwenye engo ngumu usibague hata siku moja acha upatiwe huduma.

huyo ndo teacher mwalimu bwana!
nakupa offer ya kukuandikia scheme of work ya muhula huu wote!
 
Naona mnaongelea magonjwa kama issue ya kwenda 'fiesta'..ambayo unapanga na kujiandaa..
Hivi umebanwa kabisa na maisha yako hatarini utaanza kuchagua madokta???..
Hivi ingekuwa ndiyo mambo haya kungekuwa na 'dakatri wa familia' kweli??
Yeyote aliye tayari no matter tunafahamiana atamtibu mkewangu au mimi mwenyewe provided ana 'qualify' kwenye case husika...

yani we unanisaidia kupunguza kutype majibu!thanks pacha!sijui nikupe uheadboy kabisa!
 
labda awe specialist.

Ukute ni ki lena bado kina hamu, huwa vinachambua kama pamba kila kiungo kinawekwa meza tofauti, utajuuuuuta kukifahamu.

Ndiyo vizuri,kwani kila kiungo kitapata tiba!
 
kwa mfano,mke wako ni mjamzito,na anakaribia kujifungua....na una rafiki yako wa karibu/au ndugu yako ambaye ni daktari/mtaalamu wa uzazi ambaye anaweza kumshughulikia mke wako wakati wa ujauzito....je kipi ni bora,kumpa support rafiki yako, au kumpeleka sehemu nyingine?....na je kunakuwa na faida na hasara gani juu ya hili?....asanteni,,,,,,nawakilisha

Binafsi mke wangu ni wangu cwe mpa rafiki yangu kisa doc eti amwangalie ningempeleka kwa mtu mwingine kwa nn nimdhalilishe? ntaenda kwa rafiki endapo tu imetokea emergencgy na sina jinsi. Kuhusu hasar na faida unazijua ndio maa ukasema nn faida na hasara.
Naweza kosana na rafiki ila co mke wangu n in everything my wife comes first jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom