GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,252
- 110,836
- Thread starter
- #21
Jiandae kwenda Kulala mazima Kinondoni au Kisutu baada ya hili Swali lako sawa?What's her opinions concerning manges demands
Jiandae kwenda Kulala mazima Kinondoni au Kisutu baada ya hili Swali lako sawa?What's her opinions concerning manges demands
Jiandae kwenda Kulala mazima Kinondoni au Kisutu baada ya hili Swali lako sawa?mh naomba kujua kama aliyosemaga mange kimambi kuhusu tabia yako ya kunaniliana ni kweli?
Yaani huyu na mwenzake anayemfuta kwa comment wanajitafutia everlasting Life pale Kinondoni na Kisutu 🤣🤣🤣Jiandae kwenda Kulala mazima Kinondoni au Kisutu baada ya hili Swali lako sawa?
Yeye anatamani kupumzika na kupisha wengine waendelee ila aliye mweka hapo hataki.Nitamuuliza kwanini anang'ang'ania madaraka ambayo hawezi kuyamudu.
Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan, hongera sana kuwa Rais wa kwanza mwanamke kwa Afrika Mashariki.La Kwangu GENTAMYCINE nitaliweka mwishoni kabisa mwa Kurasa ya mwisho zitakazotokana na huu Uzi wangu hapa Ok?
Nitamuuliza Mheshimiwa 'lini ataikodisha bandari ya Zanzibar ili malalamiko yaishe???'La Kwangu GENTAMYCINE nitaliweka mwishoni kabisa mwa Kurasa ya mwisho zitakazotokana na huu Uzi wangu hapa Ok?
Kwa hilo Swali lako #4 naona kama vile unajitafutia tu matatizo nae.Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan, hongera sana kuwa Rais wa kwanza mwanamke kwa Afrika Mashariki.
1. Ulikuwa ni Makamu Mw/kiti wa Bunge la katiba inayopendekezwa na mchakato wake ulitumia hela nyingi sana za walipa kodi, je kwa nini hadi sasa hujataka kuruhusu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya ambayo Watanzania wengi wanaitamani?
2. Wakati unaingia madarakani kama Rais rushwa ilikuwa kwa kiasi gani na kwa sasa umepambana, ana nayo kwa kiasi gani?
3. Ulitumia vingezo vipi kukubali uwekezaji wa DPW kwenye bandari zetu huku wakiwa na changamoto na nchi km Somaliland, Djibouti?
4. Wakati unapokea uongozi deni la taifa lilikuwa kiasi gani na kwa sasa lipo kiasi gani?
5. Pamoja na kuendeleza miradi ya ya mtangulizi wako, wewe umeanzisha miradi ipi mikubwa mikubwa na umefikia wapi?
6. Ukiondoa leo madarakani watanzania watakukumbuka kwa yapi mazuri uliyowafanyia hasa wale wa vijijini?
Mimi nipo ndani ndani huku kwahiyo ningemuuliza kwenye huu uongozi wake amefanya lipi ambalo ni jipya kwa ajili ya wananchi wake? Nafahamu tu kuwa amejitahidi kukopa lakini sifahamu nitaomba kufahamishwa.
Hayati Magufuli yeye alibana matumizi kuendeleza secta mbalimbali
Kwani ameshasema anagombea urais?La Kwangu GENTAMYCINE nitaliweka mwishoni kabisa mwa Kurasa ya mwisho zitakazotokana na huu Uzi wangu hapa Ok?
Kuna Kiongozi wa Bara hili la Afrika ambaye akishaonja tu Utamu wa Ikulu na Ving'ora anapenda asiendelee tena kuwepo?Kwani ameshasema anagombea urais?
Fomu mnatoa Moja au nyingi?Kuna Kiongozi wa Bara hili la Afrika ambaye akishaonja tu Utamu wa Ikulu na Ving'ora anapenda asiendelee tena kuwepo?
Mkuu GENTAMYCINE kwa asitake kuulizwa swali linalohusu deni la taifa na ilhali walipaji wa deni la taifa ni sisi Watanzania, hatoi hela kutoka kwenye Account yake.Kwa hilo Swali lako #4 naona kama vile unajitafutia tu matatizo nae.
Napigia msumari hapa japo.....ntamuuliza kwanini anatengua na kuteua walewale viongozi wa kila siku?? angali kuna vijana wenye akili mtaani.