Kwa mbwembwe hizi, mnaenda kushindana na nani?

Kwa mbwembwe hizi, mnaenda kushindana na nani?

Wasanii kama wote, mbwembwe kama zote, mipasho kama yote, gharama kama zote, mshindani wenu ni nani???
House girly wako unampeleka hotel ya nyota 5 huo si upumbavu umeshindwa hata kumpeleka stoo
 
Wasanii kama wote, mbwembwe kama zote, mipasho kama yote, gharama kama zote, mshindani wenu ni nani???
Yeyote atakayejitokeza, kama hawakutokea basi tutajinyakulia ushindi wa bwerere na kuondoka kwenda kuwahurumia wananchi........hilo ndo la umuhimu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom