(1)Mkude aliliwa na simba kwa mbinde saana, alifukuzwa na simba toka porini akaja kuliwa mlangoni kwake!
(2)Mkude aliovatekiwa na mloka kwa mbiiinde saana, aliongoza ligi toka matombo akaja kupitwa kabla ya kuingia stand msamvu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.