Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Vipi Bwana akiulinda mji?Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure
Jibu unalo, ila nahisi analindwa na bwana si BwanaVipi Bwana akiulinda mji?
Wewe huwezi igiza kitu dakika 20 unaongea kitu cha kuigiza ambacho mtu hajawahi kiongea. Ha ha ha , harafu mtu unataka urais unakuwa mbeya vile lol!Nahisi Mambo meengi yametengenezwa kuhalalisha Mambo mengine yafanyikee. Sidhani kama sio propaganda..its like give a dog bad name and kill it..
Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Leo wastaafu wamekua mafisadi, kazi ipo!!Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na mafisadi kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
JW sijui pakoje.Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damuKama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Babu unaona mbali sana.Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?