jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Ukuaji wa pato la taifa kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita,umekua kwa wastani wa asilmia 7 kwa mwaka
ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa shillingi billion 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa shilingi 850 billion kwa mwezi mwaka 2014/2015
misaada na mikopo ya washirika wa maendeleo kwenye bajeti ya serikali imepungua kutoka asiimia 42 mwak 2005 hadi kufikia mwaka 2015/2016,,utawezaje kuishinda ccm kwa mambo hayo upinzani mtasubiri sana mwaka huu
ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa shillingi billion 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa shilingi 850 billion kwa mwezi mwaka 2014/2015
misaada na mikopo ya washirika wa maendeleo kwenye bajeti ya serikali imepungua kutoka asiimia 42 mwak 2005 hadi kufikia mwaka 2015/2016,,utawezaje kuishinda ccm kwa mambo hayo upinzani mtasubiri sana mwaka huu