kwa mara ya kwanza nimetumia PREP ON DEMAND 2-1-1

kwa mara ya kwanza nimetumia PREP ON DEMAND 2-1-1

Red shadow

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,411
Reaction score
1,975
Mwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana.

siko sure saana na hizi kitu!!….
Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa
Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!😎
 
Moyo unaanza kudunda
Njaa itakuwa inakuuma balaa
Maruweruwe
Cheki Figo zako zisiathirike
Kusinzia.

Hongera kwa kuukimbia Umeme ila ndio uvumilie sasa
 
Mwezi haujaisha ila mmh!!Nimepiga mzigo mmoja hatari sana.

siko sure saana na hizi kitu!!….
Maana wiki sasa leo naona kama nawashwa washwa
Wenye uzoefu wa hizi dawa za prophylaxis wanitie moyo!😎
Unakula PEP au PREP? Kama umekula mzigo tayari ndio unaenda na PEP
TLD ndio ina muwasho flan hivi lakini baada ya muda unapotea.
 
Back
Top Bottom