figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mia
Mim sitafuti mwanaume hapa jf.
Mim sitafuti mwanaume hapa jf.
Hapo sijaona, labda hizo bamia! Ugali wa mtama, samaki mkuuubwa wa kuchoma na Yoghurt glas ya nusu litre..........ni kujiramba tu....aaaaam.....aaaam!
Halafu cheusimangala chakula cha kiafrica kinanoga kikiandaliwa kiafrika zaid!...kinapikiwa kwenye vyungu na kuliwa kwenye mkeka!