boy mzuri
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 287
- 436
Dhahili huleta udhaifu wa moyo pamoja na roho , lakini mimi nafarijika kuwa wewe unaweza kuiponya roho yangu inayonipeleka puta.
Mpenzi" mapenzi yanapokuwepo ndipo hupatikana mahaba na hasa wakutanapo mtu na mpenzi wake.
Nikikumbuka urembo wako nasononeka sana , ni uzuri wako na upole wako ndio vilionilidhisha moyoni mwangu" Sura yako tulivu kama mwezi mwangavu wanijengea wivu kwani sina uvumilivu na hasa ukizingatia penzi ni kikohozi , So kuficha siwezi na huu ndio ukweli wangu kwako.... Nakupenda sana el.......nataraji jibu utakalonipa litanifanya nijione mkubwa sana katika dunia hii so pls naomba usiniangushe el Wang..
Huu ulikuwa ni ujumbe wa barua nilipomtumia enzi hizo mpenzi wang ambaye kwa sasa ni mke wang mama Lizy..... Kwa ujumbe huu wala hakuchomoa na tukadumu katika mahusiano kwa miaka sita na badae kuja kufunga ndoa na kujaliwa mtoto ....
Kama kuna wenzangu humu nao waliwapata wenza wao kwa njia kama yangu ya barua tunaweza kushare pia ..... Wenu Boy mzuri
Mpenzi" mapenzi yanapokuwepo ndipo hupatikana mahaba na hasa wakutanapo mtu na mpenzi wake.
Nikikumbuka urembo wako nasononeka sana , ni uzuri wako na upole wako ndio vilionilidhisha moyoni mwangu" Sura yako tulivu kama mwezi mwangavu wanijengea wivu kwani sina uvumilivu na hasa ukizingatia penzi ni kikohozi , So kuficha siwezi na huu ndio ukweli wangu kwako.... Nakupenda sana el.......nataraji jibu utakalonipa litanifanya nijione mkubwa sana katika dunia hii so pls naomba usiniangushe el Wang..
Huu ulikuwa ni ujumbe wa barua nilipomtumia enzi hizo mpenzi wang ambaye kwa sasa ni mke wang mama Lizy..... Kwa ujumbe huu wala hakuchomoa na tukadumu katika mahusiano kwa miaka sita na badae kuja kufunga ndoa na kujaliwa mtoto ....
Kama kuna wenzangu humu nao waliwapata wenza wao kwa njia kama yangu ya barua tunaweza kushare pia ..... Wenu Boy mzuri
