Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ndugu zanguni na marafiki kwa ujumla.
Sisi ni ndugu na marafiki wa siku nyingi. Tusikubali kuchukiana kwa sababu yoyote ile hasa hasa ushabiki wa mpira. Tuwe tunapongezana na kufarijiana katika michezo.... Watu wa MMU tuonyeshe upendo hata kwenye michezo.
Kama kawaida mvua ikinyesha watani zangu wa Jangwani huwa wanakoga bila hiyari. Na tayari imeshanyesha! Neema hiii!
Kwa kuonyesha mfano nawafariji ndugu zangu wa mtaa wa pili. Poleni sana wana wa Jangwani.....Makapteni Kaizer na Fidel80 na ndugu zenu wote. Tuko pamoja jamani.
Teamo, MTM, St RR na crew nzima ya Msimbazi, tukutane Fairway saa kumi na mbili jioni tuwafariji hawa ndugu zetu wa Yanga kwa Red Label, Valuu, Kesto za Kopo na Serengeti!
Sisi Simba ni Washindi, Sisi Simba ni Waungwana.
Karibuni Msimbazi tule Pilau.
Sisi ni ndugu na marafiki wa siku nyingi. Tusikubali kuchukiana kwa sababu yoyote ile hasa hasa ushabiki wa mpira. Tuwe tunapongezana na kufarijiana katika michezo.... Watu wa MMU tuonyeshe upendo hata kwenye michezo.
Kama kawaida mvua ikinyesha watani zangu wa Jangwani huwa wanakoga bila hiyari. Na tayari imeshanyesha! Neema hiii!
Kwa kuonyesha mfano nawafariji ndugu zangu wa mtaa wa pili. Poleni sana wana wa Jangwani.....Makapteni Kaizer na Fidel80 na ndugu zenu wote. Tuko pamoja jamani.
Teamo, MTM, St RR na crew nzima ya Msimbazi, tukutane Fairway saa kumi na mbili jioni tuwafariji hawa ndugu zetu wa Yanga kwa Red Label, Valuu, Kesto za Kopo na Serengeti!
Sisi Simba ni Washindi, Sisi Simba ni Waungwana.
Karibuni Msimbazi tule Pilau.