Kwa kuwa CHADEMA imepoteza dira, Watanzania twendeni na ACT Wazalendo

Mwasita Moja

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,904
2,580
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.
 
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.
Nenda ,3050 twaja
 
Hiyo inaitwa ACT -UJIJI, kwa hiyo hatuwezi kwenda mwisho wa Leri nenda wewe na familia yako, sisi tupo mjini.
We nawe uwage unatumia huo ubongo uliopewa bure kufikiri vizuri,umeshindwa kujua huyu ni mleta uzi ni upande wa kina daud bashite?nia yake act na chadema kulumbana
 
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.
Angalau sasa mnaonyesha mmeanza kunyooka! hali tete...
 
Chadema leo imepoteza mwelekeo? alipotoka zitto mlisema hivyo, akatoka babu slaa mkasema hivyo, akaingia lowasa mkasema hivyo, ameingia wema mnasema vivyo hivyo, hahah CCM mko hoi kisiasa
 
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.
Hatulimi kilimo cha kuhama hama kwa sasa. Jengeni chama, ingizeni hata wabunge wa5 mjengoni mtapata wafuasi.
 
Funga kinywa chako kabisa
Naona akili yako imepoteza dira,
Bora hata ungeandika thread inayohusu Mazombie.
 
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.
Zitto anawaza namna ya kuileta ACT Wazalendo UKAWA wewe unawaza kujigawa,
 
Kwa kuwa serikali iliyopo madarakani inahitaji chama cha upinzani chenye maadili na miiko ya kimaadili ili kuisimamia na kuikosoa inapokosea serikali, nawashauri watanzania twendeni na Act wazalendo.

Chadema sasa hivi imekengeuka kimaadili, inatetea wauza madawa ya kulevya, mafisadi, wakwepa kodi na wachawi. Kwa hiyo chadema ya leo haina moral authority ya kuikosoa serikali wala kuishauri.

Hivyo basi watanzania wenye kupenda nchi yao lazima tujenge chama kingine chenye nguvu mbadala wa ccm, tunachoweza kukikabidhi nchi na kila mtu akawa na imani kwamba nchi ipo kwenye mikono salama.

Chadema hii inayotetea kila aina ya uchafu na kimbilio la mafisadi na wauza madawa ya kulevya, haiwezi kuwa chama salama cha kukabidhi nchi yetu.

Kuwakabidhi nchi chadema, ni sawa na kuwapa nchi mafisadi, wauza madawa ya kulevya, majizi na wakwepa kodi.

Chadema ya leo haina kanuni taratibu wala miiko ya chama, hivyo haifai kukabidhiwa nchi.

Twendeni na Act wazalendo angalau kina miiko na azimio la Tabora.

Chama chenye Maadili Viongozi wake wote wanamadili ya wizi wa Raslimali za Taifa.Uzwaaji wa ardhi ya Taifa kwa kujipatia 10%,Barabara zisizo na kiwango,Mabasi ya Mwendokasi yasiyo na ubora,Kivuko kibovu bilioni nane zikapoyea,bado zile nyumba mlizowapa wakwe,nyumba ndogo ,ndugu,jamaa na marafiki.

Kuna Escrow, Richmond, Epa,IPTL duh Mabehewa hewa ,madrug lord na watakatishaji wa fedha wadau wenu wakiwa GSM.

Ni bora kukaa kimya maana ndoana ya mvuvi haitakugusa.Majangili wakubwa nyie.In actual fact anaitwa Chama Cha Majangili.
 
Chama chenye Maadili Viongozi wake wote wanamadili ya wizi wa Raslimali za Taifa.Uzwaaji wa ardhi ya Taifa kwa kujipatia 10%,Barabara zisizo na kiwango,Mabasi ya Mwendokasi yasiyo na ubora,Kivuko kibovu bilioni nane zikapoyea,bado zile nyumba mlizowapa wakwe,nyumba ndogo ,ndugu,jamaa na marafiki.

Kuna Escrow, Richmond, Epa,IPTL duh Mabehewa hewa ,madrug lord na watakatishaji wa fedha wadau wenu wakiwa GSM.

Ni bora kukaa kimya maana ndoana ya mvuvi haitakugusa.Majangili wakubwa nyie.In actual fact anaitwa Chama Cha Majangili.
Mwizi wa Richmond amejibanza chadema
 
Back
Top Bottom