Kwa kuficha"uchi " wa maradona germany kupewa tuzo ya timu yenye nidhamu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,149
Uongozi wa fifa
unapanga kuwapa heshima ya timu yenye nidhamu timu ya germany kwa kuficha uchi wa maradona
wakiongea na mwandishi wetu baadhi ya wajumbe wamependekeza ustaarabu walioufanya wachezaji wa germany kwa kuwafunga argentina wasifanikiwe kuelekea final ambapo ingemgarimmu maradona kuvua nguo na kubakia uchi kama alivyosema...kwa upande mwingine tunaunga mkono kwa hili na nafikiri wasimsahau na yule muller wao aliewafikisha apo walipoishia

tunawatakia uchaguzi mwema
 
Back
Top Bottom