Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,256
Honestly, Leo nimekwazika sana unapopata ka mchepuko kako uko nje hatuwazuii tunajua polygamy runs in your blood mkapendana akakupa tigo au 0713 na ikatokea ukafulia au mmeachana au whatever the case jamani usiamishie hcho kitu kwa mkeo kama mke wako hajawai kukupa na wewe tangu uanze ile njia ya asili huipendi usimlazimishe mkeo akupe.
Akikataa unaibua migogoro isiyoisha kumbe yote sababu ni akupe tigo tu jamani, rudi kule ulikopewa au katafute kwingine muache mama au dada wa watu na ushamba wake au yeye awe ameridhia kukupa na siyo umlazimishe hadi umpige mbele za watoto watu tujue ugomvi wa kawaida hata kama ana weakness zake kumbe yote hayo chanzo ni kukunyima tigo.
Siyo vyema kabsa kitu kizuri ni kifanyike kwa maridhiano siyo kulazimishana mbna flani alinipa. Nenda sasa akakupe uyo uyo.
Ni hayo tu kwa kweli msitusumbulie dada zetu au mama zetu wakafanya tukaogopa na sisi kuolewa kumbe sababu ni nyie na hiyo hamu yenu ya tigo.
Akikataa unaibua migogoro isiyoisha kumbe yote sababu ni akupe tigo tu jamani, rudi kule ulikopewa au katafute kwingine muache mama au dada wa watu na ushamba wake au yeye awe ameridhia kukupa na siyo umlazimishe hadi umpige mbele za watoto watu tujue ugomvi wa kawaida hata kama ana weakness zake kumbe yote hayo chanzo ni kukunyima tigo.
Siyo vyema kabsa kitu kizuri ni kifanyike kwa maridhiano siyo kulazimishana mbna flani alinipa. Nenda sasa akakupe uyo uyo.
Ni hayo tu kwa kweli msitusumbulie dada zetu au mama zetu wakafanya tukaogopa na sisi kuolewa kumbe sababu ni nyie na hiyo hamu yenu ya tigo.