Kwa kilio hiki cha Kenya kwa Tanzania: Kweli sindano imegusa mfupa

I agree to disagree since you sound feed up liem them already. At some point you make sence since basically I was subjective, you go objective then if you can so we learn.
Mkuu

Naona unanichanganya sasa.......Wananchi wa Tanzania wana assets zipi ambazo Wakenya hawana?

Ardhi?

Watanzania gani wenye ardhi?

Kwa statistics wenye ardhi Tanzania ni old people na sio vijana,acha kudanganya!

Wewe mwenyewe una ardhi heka ngapi zenye tittle deed?Huna

Una assets gani?

Tuhuma kwamba kuna watu wachache wana own ardhi Kenya na Tanzania ni the same!

Kuna familia ni the biggest landowners in Tanzania,William Lukuvi alishindwa kuwataja!

Unachotaka sema ni mfumo wa ardhi ownership Tanzania ni tofauti na Kenya..

Kenya land ni owned by a person moja kwa moja kama ilivyo USA,Tanzania ardhi ni mali ya serikali mwananchi unaazimwa!

Tanzania in real sense ardhi yetu yote ni worthless,ni mali ya serikali wananchi ni wapangaji tu!

Ardhi ya Kenya ina make sense zaidi na ndio maana ni ya thamani zaidi ya Tanzania kwasababu ni mali halisi ya mwananchi husika....

Blah blah blah,sijui Tanzania ni kubwa zaidi ya Kenya hivyo Watanzania ni matajiri wa ardhi,huo ni upumbavu maana Kenya tumewapita ukubwa kiasi kidogo cha 15% na thamani ya ardhi haiangaliwi kwa ukubwa wa metric numbers,ni thamani ya eneo kama eneo!

Ndio maana 20x20 ya Masaki ni bilioni 2 na heka 500 Tandahimba ni laki moja tu!

One another thing,asset unayosemea ya ardhi ni hoja mufilisi sana maana unachosema ni cha uongo kwasababu Tanzania maeneo yaliyopimwa rasmi na kupangishwa watu ni 10% ya ardhi yote,kithamani the remaining 90% ni worthless ardhi...

Mapori ni mali ya serikali,wewe umeenda kujikatia huo unajifurahisha tu,utajenga na kulima basi tu wanakuacha sababu hawana muda na wewe,ni ardhi worthless,huwezi iweka benki wala chochote....endelea kujidanganya!
 
I agree to disagree since you sound feed up liem them already. At some point you make sence since basically I was subjective, you go objective then if you can so we learn.

Beware of the people who lack technical capacity in emotional inteligence.
 
Back
Top Bottom