Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Hawatendei haki watumishi wa UMMA yaani ana character za umungu "MTU".Huyu mzee aache upumbavu standing orders za utumishi wa umma ziko wazi, mtu anayetaka kuomba nafasi ya kisiasa huwa anapewa ruhusa ya bila malipo mpaka mchakato utakapoisha. Akipewa ridhaa ya kukiwakilisha chama ndiyo utumishi wake unakomea hapo! Aache unyanyasaji huyu