Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,666
ALIVYOSEMA
"Nawashukuru sana kwa kunichagua lakini pia kwa kunipa wabunge wa CCM, mngechagua wale wangine nisingeweza kufanya nao kazi. Mimi nikiwaambia watu walime wapate chakula, wao wangekuwa wanazunguka wanasema kuna njaa, nikipiga vita dawa za kulevya, wao wangekuwa wanawachukua wale wahusika na kuwaambia njooni kwetu" - Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Nawashukuru sana kwa kunichagua lakini pia kwa kunipa wabunge wa CCM, mngechagua wale wangine nisingeweza kufanya nao kazi. Mimi nikiwaambia watu walime wapate chakula, wao wangekuwa wanazunguka wanasema kuna njaa, nikipiga vita dawa za kulevya, wao wangekuwa wanawachukua wale wahusika na kuwaambia njooni kwetu" - Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.