Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Nadhani jeshini kumepata mabadiliko sana , enzi za Mwamunyange huwezi sikia kauli kama hizi kwa askari wetu. Hizi ni kauli za wanasiasa na sio kwa wanajeshi kama JWTZ.
Huyu Mkuu wa Jeshi anasema yupo Tayari kuwafuta kazi wanajeshi. Jeshi letu ni jeshi lililofundishwa kuwa na nidhamu, yamkini kuna malalamiko ambayo hayajatelelezwa.
Mabeyo unafeli wapi mkuu.
Huyu Mkuu wa Jeshi anasema yupo Tayari kuwafuta kazi wanajeshi. Jeshi letu ni jeshi lililofundishwa kuwa na nidhamu, yamkini kuna malalamiko ambayo hayajatelelezwa.
Mabeyo unafeli wapi mkuu.