johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,938
- 141,911
Dr Bashiru amesema wabunge wote walioko madarakani watapimwa kwa namna walivyotimiza ahadi zao na jinsi walivyoielezea na kuitekeleza ilani ya CCM.
Kimsingi hakuna mbunge wa upinzani au wale waliohamia CCM aliyetimiza ahadi alizoahidi.
Naibu waziri Mwita Waitara kwa mfano amelikimbia jimbo la Ukonga baada ya kushindwa kutimiza ahadi na kwenda Tarime vijijini.
Dr Bashiru amesema watu wa aina hii wanajidanganya kwa kudhani ukishinda kura za maoni basi unateuliwa, mwaka huu mambo ni tofauti kabisa amesisitiza.
Maendeleo hayana vyama!
Kimsingi hakuna mbunge wa upinzani au wale waliohamia CCM aliyetimiza ahadi alizoahidi.
Naibu waziri Mwita Waitara kwa mfano amelikimbia jimbo la Ukonga baada ya kushindwa kutimiza ahadi na kwenda Tarime vijijini.
Dr Bashiru amesema watu wa aina hii wanajidanganya kwa kudhani ukishinda kura za maoni basi unateuliwa, mwaka huu mambo ni tofauti kabisa amesisitiza.
Maendeleo hayana vyama!