KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,596
- 8,638
Kwa kasi hii ya Rais JPM inaweza ikaharibu upinzani katika hii nchi ni leo baada ya kushuhudia leo vijana kariakoo wakiwa wamepagawa!na Waziri mkuu,pia nilipokuwa Ferry vijana uvumilivu uliwashinda nakusema mafisadi watafute pakwenda!Na ujanja alioutumia JPM nikufanya yale wapinzani wamekuwa wakiyasema siku zote!Hivyo kuwa M4C kunaanza kudhoofisha upinzani hivyo kunatakiwa kuwepo na mbinu mbadala ya kushindana na hii kasi ya JPM. Leo wale vijana wa Kariakoo ni wale waliokuwa wakizomea mtu yeyote anayevaa nguo za CCM. Leo ndo wamekuwa washabiki wa CCM!