trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Mpaka sasa wanaoisoma no ni waliokuwa wanafaidika na mfumo uliopita...
So Rais chama tawala,ila actions pasted from Ukawa..
So Rais chama tawala,ila actions pasted from Ukawa..
Kweli tupu mfano huyu jamaa anajiita Assadsyria ni mwana CCM ila anampiga vita sana Magufuli nadhani anaisoma namba.pro cdm=pro magufuli as long as magufuli ameiacha njia chafu ya ccm kwa sasa ana mass support from cdm ila makada wapiga dili wa ccm watamchukia sana huyu rais
2020 ni ushindi wa tufani
Kumbe wabunge wote wa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro nj wa CCM! Kumbe wabunge wote kule Pemba ni CCM! Kumbe wabunge wote Dar es Salaam ni CCM! Kumbe wabunhe wote Lindi, Mtwara, Kigoma ni wa CCM! Sikujua hiloSwali la kujiuliza ni kuna haja gani ya kuwa hata na chaguzi ilhali tunajua kabisa mwisho wa siku CCM ndo atatangazwa mshindi?
Swali la kujiuliza ni kuna haja gani ya kuwa hata na chaguzi ilhali tunajua kabisa mwisho wa siku CCM ndo atatangazwa mshindi?
Katiba Mpya nyingine mbwembwe tu!Hakika kuna kila sababu ya kubadili katiba ili Magufuli aendelee kutawala hata kwa miaka 20 ijayo au hata milele....
Ndugu Katiba mpya ndani ya miezi mitano!! Kumbuka mwaka jana uchaguzi+Katiba vilikula hela nyingi sana hebu tumuache aweke mambo sawa kidogo maana hajabadili sheria bali anaweka mambo sawa.Demokrasia ina-maanisha uchaguzi huru na wa haki lazima viwepo(na mengineyo). Demokrasia hupiganiwa-hivyo ni haki ya watanzania, na mapungufu yatapiganiwa ili yarekebishwe hata kama itachukua miaka mingi-kwa mfano kutokupeleka malalamiko zidi ya mshindi wa uraisi etc. Haijalishi kama alieko madarakani ni mzuri kiasi gani lazima tuwe na checks and balances na uchaguzi ni njia kubwa ya kuwa na checks na balances. Kigezo kimoja kwa uongozi wa JPM ni jinsi atakavyohandle issue ya katiba. Uzalendo na ujasiri wake hapo ndio utaonyesha anataka kulipeleka wapi taifa hili.
Hivi kumbe na wewe huwa unaandika upuuzi kama huuWanabodi.
Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020,
- Hivi Kweli Tanzania, Tuna Haja tena ya Kufanya Uchaguzi Wa Rais kwa mwaka 2020?.
- Hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, na badala yake , ili kuokoa pesa na muda, Magufuli apewe a walkover ya kuendelea hadi 2025?!.
- Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike hata kama ni wastage of time and money?!,
- Na hiyo 2025 tukimuona bado anaweza, na anatufaa, kuna ubaya kuibadili katiba yetu tumpatie extension ya kutosha kuinyoosha Tanzania?!.
- Kwani katiba ni nini?,si ni kipande tuu cha karatasi?!, nini muhimu kati ya kipande cha karatasi na Magufuli?!.
- Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, tukimtaka Magufuli, si tunaweza kuiweka tuu katiba pembeni?!.
- Sasa kama Magufuli anatufaa sana, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu?!,
- Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!.
- Na jee ubaya wowote wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, na badala yake CCM ndio iwe inatoa rais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mefu kwenye urais?.
- Na kufuatia somo la urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado watahitaji kweli kusimamisha mgombea kushindana na Magufuli?!, kutakuwa ni kugombea au kujifuahisha tuu?!, au hata ikitokea ameshinda atatangazwa?!.
Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.
Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.
Pasco
Adi na wewe unahandika Pumba,kweli Njaa mbaya kakaWanabodi.
Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tuu", na kama hiki tunachokiona sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020,
- Hivi Kweli Tanzania, Tuna Haja tena ya Kufanya Uchaguzi Wa Rais kwa mwaka 2020?.
- Hatuwezi kufanya uchaguzi wa wabunge tuu na madiwani, na badala yake , ili kuokoa pesa na muda, Magufuli apewe a walkover ya kuendelea hadi 2025?!.
- Au kwa vile Uchaguzi wa Rais ni takwa la kikatiba, hivyo uchaguzi huo lazima tuu ufanyike hata kama ni wastage of time and money?!,
- Na hiyo 2025 tukimuona bado anaweza, na anatufaa, kuna ubaya kuibadili katiba yetu tumpatie extension ya kutosha kuinyoosha Tanzania?!.
- Kwani katiba ni nini?,si ni kipande tuu cha karatasi?!, nini muhimu kati ya kipande cha karatasi na Magufuli?!.
- Na Katiba ni ya nani?!, ni yetu?!, na iko kwa manufaa ya nani?!, si ipo kwa manufaa yetu?!, hivyo sisi ndio muhimu kuliko katiba, tukimtaka Magufuli, si tunaweza kuiweka tuu katiba pembeni?!.
- Sasa kama Magufuli anatufaa sana, na katiba haitamruhusu kuendelea baada ya 2025, kuna ubaya gani kuibadili katiba kwa manufaa yetu?!,
- Au kwani Katiba ni Msahafu kusema haiwezi kubadilishwa?!.
- Na jee ubaya wowote wapinzani wa Tanzania mkiamua kwa kauli moja msisimamishe tena mgombea urais, na badala yake CCM ndio iwe inatoa rais siku zote kufuatia long eksipirience ya uzoefu wa muda mefu kwenye urais?.
- Na kufuatia somo la urais wa Zanzibar, na kilichofanyika kwenye urais wa JMT, kweli wapinzani makini bado watahitaji kweli kusimamisha mgombea kushindana na Magufuli?!, kutakuwa ni kugombea au kujifuahisha tuu?!, au hata ikitokea ameshinda atatangazwa?!.
Hayo ni maswali tuu nimeanza kujiuliza aloud?!.
Jee wewe una maoni gani kuhusu hoja zangu hizi?!.
Pasco
Kikwete alikuwa hafai kutawala milele au nyie ndiyo walewale bendera fuata upepo?Hakika kuna kila sababu ya kubadili katiba ili Magufuli aendelee kutawala hata kwa miaka 20 ijayo au hata milele....
On the contrary...mjadala wa maswali kama haya ndo utafanya serikali ya Magufuli ijisikie aibu na kuona maamuzi yote yanatoka kwa Wananchi kupitia Katiba